Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Hio kazi uliipata kwa connection itakua

Ila.kwa wale walio sota mtaani and wakasota mpaka kupata hio chance hawawwzi waza huu ujinga,
 
Acha ualimu,kuna siku utaleta Uzi hapa hatutakuchangia.Jichanganye uone,unafuata mawazo ya mob,wanakushauri uache watakukimbia wote,hata kande utakosa
 
Acha ualimu,kuna siku utaleta Uzi hapa hatutakuchangia.Jichanganye uone,unafuata mawazo ya mob,wanakushauri uache watakukimbia wote,hata kande utakosa
We jamaa unanitisha mpaka naogopa
 
Siku nyingine andika majina ya kubuni
 

Ukiona hujui cha kufanya ila unaomba ushauri, ujue mda wa kuacha kazi bado sana.

Fursa unayoiona binafsi ndiyo sababu pekee inayoweza kukufanya uache ajira
 
Njoo Hapa Goma kwa siku naingiza milion 2 nafanya kazi kwa siku 4 za week[emoji3][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…