Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Kwa hiyo ni muajiriwa wa serikalini? Kasome health management , ukiikosa mzumbe ipo st John hii ukimaliza tu utahamishwa halmashaur au hospital kama katibu afya, kasome engineering ukitoka andika barua kuomba kuhamia taasis nyingine japo hata ukienda halmashaur utapata Hela kuliko walimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…