Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameomba idea tuu mtaji juu yake na kufungua kampuni sio gharama kubwa, kusoma kwa bongo 99% ya wanafunzi wanategemea mikopo ya serikali so atafanya kama wengineManeno makavu kabisa haya bila kumuwazia mtaji atapata wapi
Unamaanisha hata akiajriwa kuwa meneja wa tanesco/tra/bandari hatafurahia?Hakuna kazi yeyote ya kuajiriwa utakayofurahia,ukifurahia maisha kwa kuajiriwa kada yeyote tena serikalini niite MBWA nimekaa paleeee.
Mshikaji wangu alikuwa mwalimu shule ya msingi. Akaupiga chini akaenda kusoma diploma medicine akamaliza akapiga degree medicine sasa hivi ni doctor.Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY...
Inategemeana ni kazi gani. Watu wameajiriwa kwa muhindi na mwarabu na wako happy sana.Hakuna kazi yeyote ya kuajiriwa utakayofurahia,ukifurahia maisha kwa kuajiriwa kada yeyote tena serikalini niite MBWA nimekaa paleeee.
Huu ni ukweli. Ahakikishe ana alternative ya kipatoKwa hiyo binafsi nashauri kama hauna chanzo kingine cha ugali, usiache ualimu ukakimbilia kusoma kozi nyingine tofauti na hiyo Ualimu, imagine walimu wamejaa mtaani wenye degree na wanatamani wakafundishe hata Primary angalau wapate hela ya kusogeza siku
Advance nimesoma masomo mawili pekee physics na biology, elimu maalumu.advance umesoma kombi gani na je matokeo yakoje
Sio rahisi kihivyo ndugu, kumbuka unaosha gari Kwa kutumia maji na sabuni.kuosha magari posta.
kuosha magari Posta, gari moja ni Tshs 5000 , kwa siki unaosha 10 kwa wastani utapata 1.5 milioni kwa mwezi ambayo haikatwi kodi wala haina TOZO za MWIGULU wa SINGIDA ALL STARS.
Utapata hela nyingi kuliko bank Telleer wa CRDB
Nina uhakika ulichokiandika hukijui, kuna watu wanafurahia maisha na wapo serikalini. Trust me.Hakuna kazi yeyote ya kuajiriwa utakayofurahia,ukifurahia maisha kwa kuajiriwa kada yeyote tena serikalini niite MBWA nimekaa paleeee.
Hapo pagumu, kwa watu wa elimu maalumu sina hakika kama utaweza kusoma kozi ingine zaidi ya ualimu kwa kutumia diploma hiyohiyo, ngoja wajuvi waje.Advance nimesoma masomo mawili pekee physics na biology , elimu maalumu
Umeongea vyema mkuu ni kweli kazi zina changamoto ila sio kukurupuka kizembeLate 2009 kuna Mwl mmoja alifanya uamuzi kama huu unaoutaka wewe, yeye alisoma kozi fupi ya Ualimu wa Sekondari mwaka 2006 kipindi Shule za kata zimeanzishwa. Sasa alimua kwenda kusoma Degree ila aliamua kubadili kozi ya kwenda kusoma chuo, alichagua Accountancy na alifanikiwa kudahiliwa UDOM.
Wakati anaomba ruhusa kwa mwajiri wake(DED) alidanganya kuwa anaenda kusoma Ualimu akapewa ruhusa.
Baada ya kumaliza Chuo akiwa na Degree ya Accountancy akashindwa kurejea kwa mwajiri ili aendelee na kazi maana alidanganya tangu mwanzo. Akaamua kuingia mtaani ili atafute kazi. Aisee mambo yakawa magumu sana akafanya Application nyingi za kazi bila kuitwa hata Interview moja, stress si ikapiga hodi akakondeana hatari maana mwanzoni alikuwa bonge. Wenzio ambao hawakudanganya wakarejea kazini(Ualimu) bila usumbufu wowote tena wengine waliopata GPA kubwa walipangiwa Vyuo vya Ualimu kwenda kufundisha, yeye akaanza kujutia uamuzi wake.
Sasa hivi sijui yuko wapi maana mara ya mwisho nilikutana naye mwaka 2015.
Kwa hiyo binafsi nashauri kama hauna chanzo kingine cha ugali, usiache ualimu ukakimbilia kusoma kozi nyingine tofauti na hiyo Ualimu, imagine walimu wamejaa mtaani wenye degree na wanatamani wakafundishe hata Primary angalau wapate hela ya kusogeza siku
Mbna huyo anakimbiaNina uhakika ulichokiandika hukijui,Kuna watu wanafurahia maisha na wapo serikalini.Trust me
HowMbna huyo anakimbia
Ahsante ndugu lakini vipi nikienda kuchukua bachelor ya physics ama biology pasipo ualimu?Wee acha ualimu kasome chochote unachotaka... Ila am sure utamaliza chuo utazurura mtaani na bahasha miaka itaenda utakuja kugundua ulifanya maamuz ya kipuuzi... Nyie vijana acheni kudanganyana, maisha sio rahis kias hiko, sikuhiz Pilot na Engineers wanakosa kazi sembuse wew unaenda kusoma ki kozi chako uchwara... Nakushauri kaongeze elimu kasome Bachelor of Education then Kasome Masters ya kitu kingine hii itakusaidia kuhamia ktk taasisi au wizara nyingine na ndio waalim wengi wamefanikiwa kwa approach hii...
Ahsante kaka na nitaubeba ushauri wako...pia naomba niulize swali , ni vp endapo nitaenda kusoma bachelor ya biology ama physics pasipo ualimu ? Inaweza niletea shida kwa mwajiri?Late 2009 kuna Mwl mmoja alifanya uamuzi kama huu unaoutaka wewe, yeye alisoma kozi fupi ya Ualimu wa Sekondari mwaka 2006 kipindi Shule za kata zimeanzishwa. Sasa alimua kwenda kusoma Degree ila aliamua kubadili kozi ya kwenda kusoma chuo, alichagua Accountancy na alifanikiwa kudahiliwa UDOM.
Wakati anaomba ruhusa kwa mwajiri wake(DED) alidanganya kuwa anaenda kusoma Ualimu akapewa ruhusa.
Baada ya kumaliza Chuo akiwa na Degree ya Accountancy akashindwa kurejea kwa mwajiri ili aendelee na kazi maana alidanganya tangu mwanzo. Akaamua kuingia mtaani ili atafute kazi. Aisee mambo yakawa magumu sana akafanya Application nyingi za kazi bila kuitwa hata Interview moja, stress si ikapiga hodi akakondeana hatari maana mwanzoni alikuwa bonge. Wenzio ambao hawakudanganya wakarejea kazini(Ualimu) bila usumbufu wowote tena wengine waliopata GPA kubwa walipangiwa Vyuo vya Ualimu kwenda kufundisha, yeye akaanza kujutia uamuzi wake.
Sasa hivi sijui yuko wapi maana mara ya mwisho nilikutana naye mwaka 2015.
Kwa hiyo binafsi nashauri kama hauna chanzo kingine cha ugali, usiache ualimu ukakimbilia kusoma kozi nyingine tofauti na hiyo Ualimu, imagine walimu wamejaa mtaani wenye degree na wanatamani wakafundishe hata Primary angalau wapate hela ya kusogeza siku