Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Angerudi Kwa kisingizio kwamba alidisco chuoni angeendelea na kazi . Watu wengi wamesomea vitu tofauti na ualimu na hawajatolewa kwenye ajira zao chamsingi unaaga unaenda kusomea ualimu pia uwe na joining instructions ya kwamba umechaguliwa kusomea education. Ila unasoma Chuo kingine at the end unarudi kuendelea kufundisha huku unatafuta namna ya kufanyiwa recategorization ili ubadilishe muundo wa kazi yako.
 
Ukisomea education utaendelea kuwa mwl tuu . Labda options ya mwisho uwe lecture tuu TBS mwl anafanya nini kule TBS kuna specialist Kwa kila Kitu options ni kusomea kitu tofauti na ualimu basi . Ruhusa ya kwenda shule zipo Ila
 
Huku mtaani ni kisanga kama haujajipanga aisee komaa na ualimu wako. Ukibisha acha kazi njoo mtaani uhustle 🤣🤣🤣 miez 3 mingi unarudi tena hapa kulia kia
 
Ujinga alioufanya ni kutorudi kazini hata kama alidanganya... angerudi na kama wangemzingua angepambana ahame halmashauri..
 
Nilivoanza kusoma hii comment nilijua unamdhihaki ila dah kweli town apa mipango tuu.. 🙌
rest assured , hapa mahakamani wanaotuoshea ma- V-* XLR 2022 tunawalipa 10,000 kwa siku, sasa anaosha gazi zake 5 kwa siku, maji anachukua mahakamani au kwenye AC za ofisi jirani, hawalipi kodi wala hawana TIN , maisha ni mpangilio tu
 
Nyie motivation speakers huwa mnaongea tu.nani akupe elfu 5 kwa siku kwa kuosha magari tu?kwanza hayo magari 10 unayosema ya kuosha unayapata wapi kila siku?
acha dhihaka njoo field hapa Posta, njoo IFM ma-bos wa BOT wana
Nyie motivation speakers huwa mnaongea tu.nani akupe elfu 5 kwa siku kwa kuosha magari tu?kwanza hayo magari 10 unayosema ya kuosha unayapata wapi kila siku?
njoo field uncle , mjini mipango wenzio mtaji ni kitambaa , sponji na sabuni FOMA, jioni anafunga 50,000/-
wewe endelea na white collar job.
 
Kasome fani unayoipenda ukimaliza uombe kufanyiwa recategorization

Mfano inayofaaa kwako
Dentist ina soko na watu ni wachache

Ila usiache, mana kurudi kwenye system utaweza tena
 
Kasome fani unayoipenda ukimaliza uombe kufanyiwa recategorization

Mfano inayofaaa kwako
Dentist ina soko na watu ni wachache

Ila usiache, mana kurudi kwenye system utaweza tena
 
Mkuu vipi hukupata tena ajira ya ualimu [emoji22]. Kama ulipata hongera ila kama hukupata pole sana najiskia maumivu makali kuliko anaechomwa na moto wa petrol. Umefight sana kiongozi wangu Mungu yupo
NASHUKURU sana ndugu yangu....siku bahatika kupata...kwakweli iliniuma sana nilikesha usiku kucha nikashinda mchana kutwa takribani wiki 2...za kupambania kombe bila mafanikio...
 
Ukisomea education utaendelea kuwa mwl tuu . Labda options ya mwisho uwe lecture tuu TBS mwl anafanya nini kule TBS kuna specialist Kwa kila Kitu options ni kusomea kitu tofauti na ualimu basi . Ruhusa ya kwenda shule zipo Ila
Brother ume lack exposure tuu, hii dunia huwez kuambiwa kilakitu, walimu wameajiriwa hadi MSD, TMDA sembuse TBS..? Tena ni walimu waliosomea masomo ya Arts, hii dunia ukikosa exposure utajikuta umebaki kwenye kiofisi kimoja hadi unazeeka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…