amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 345
- 531
Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY.
Baada ya misukosuko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma/kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakuwa na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka).
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauri kwa cheti changu hicho cha diploma nikasomee bachelor of science in PHYSICS or bachelor of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY.
Baada ya misukosuko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma/kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakuwa na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka).
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauri kwa cheti changu hicho cha diploma nikasomee bachelor of science in PHYSICS or bachelor of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.