Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana walaa kaka mi mvivu kinoma sema nikipiga vipush up hata siku 3 najaa kifuaMbona umekaa kama mtu wa mazoezi au hichi kifua unataka kuwatishia kina Nifa' Kantwe and the like
Ng’weeeDuh !
kuwa fitiLengo ni nini.
haya
naachaje hii
Sasa nguvu zote si zinaanzia kwenye tunu ya taifa....🤣🤣🤣nashukuru kwa ushauri ila ndo uniambie nikaze puru mkuu😜
kheee ila we jamaaSasa nguvu zote si zinaanzia kwenye tunu ya taifa....🤣🤣🤣
Inatakiwa kulindwa Kwa gharama yeyote Ile..... Utafaidi mazoezi...kheee ila we jamaa
we mada zako siyo mkuu😂Inatakiwa kulindwa Kwa gharama yeyote Ile..... Utafaidi mazoezi...
unashangaa au unaulza?Uanze mazoezi?
Nisaidie hapo mkuuunashangaa au unaulza?
Kama kichwa cha habariNisaidie hapo mkuu
Usijari we Fanya tu 🤣🤣 itapendezaWakuu nina passion na mazoezi
Naona we n mkongweUsijari we Fanya tu 🤣🤣 itapendeza
🤣🤣🤣Tulia kijana wengine tumegeuza kama chakula iko ndio kilevi tunasubiri matokeo ya kutanuka kwa moyoNaona we n mkongwe