Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Litaitwa MakoloLitaitwaje hilo kabila ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litaitwa MakoloLitaitwaje hilo kabila ndugu?
kwaiyo itakua ni kabila la taifa gani? Yani sisi tutakua tunatambulika kama watu wa nchi/taifa gani?Kwenye kabila letu hatutamtambua Nyerere kama baba wa taifa maana ni kabila lisilo na mipaka wala utaifa 😎
😂😂😂 heeee, sasa kabila letu likiwa linashindwa kujibu hoja nyepesi hivi tutafika kweli???? Tutaweza kuongoza hizo dola?Una maswali magumu sana. Nilikuwa nafikiria kukufanya Malkia wa kwanza katika kabila letu ila naona utatusumbua 😎
Ni raia wa dunia. Nilisema pale mwanzo, fikra zetu lazima ziwe futuristic. Tukiwaza kama makabila ya sasa hatutaleta jipya katika maisha ya mwanadamu 😎kwaiyo itakua ni kabila la taifa gani? Yani sisi tutakua tunatambulika kama watu wa nchi/taifa gani?
okay, tuanze na jina la kabila then utambulishe lughaNipo tayari kutambulisha lugha mpya
Mwl nyerere kashampa mrejesho mleta sredi 🤣🤣🤣
Jina la kabila mtoa mada atasuggest...mie ni upande wa lugha, nitawaongoza.okay, tuanze na jina la kabila then utambulishe lugha
labda tuwe na nchi yetu pia,,,maana ili tuweze kushiriki mambo yoyote ya kiduniani lazima mtu atambulike anatoka taifa fulaniNi raia wa dunia. Nilisema pale mwanzo, fikra zetu lazima ziwe futuristic. Tukiwaza kama makabila ya sasa hatutaleta jipya katika maisha ya mwanadamu.
haya mtoa mada, sema jina la kabilaJina la kabila mtoa mada atasuggest...mie ni upande wa lugha, nitawaongoza.
sawa mkuuJina badooo. Siyo suala la kulipua maana linaenda kutawala dunia 😎
Ni ngumu kupata ardhi kuanzisha nchi nyingine maana tayari ardhi yote inamililiwa na watu.labda tuwe na nchi yetu pia,,,maana ili tuweze kushiriki mambo yoyote ya kiduniani lazima mtu atambulike anatoka taifa fulani
yeah ni rahisi, lakini muanzisha kabila kasema tutakua hatupo chini ya taifa lolote…ndo nikahoji itawezekanajeNi ngumu kupata ardhi kuanzisha nchi nyingine maana tayari ardhi yote inamililiwa na watu.
Ni rahisi kuanzisha kabila ndani ya nchi.
Hapo atujuze😀😀yeah ni rahisi, lakini muanzisha kabila kasema tutakua hatupo chini ya taifa lolote…ndo nikahoji itawezekanaje
Nimecheka hata sijui kwa niniKuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.
Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.
Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.
Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.
Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎