Nataka kuanzisha Kabila jipya na la kisasa

Nataka kuanzisha Kabila jipya na la kisasa

Kwenye kabila letu hatutamtambua Nyerere kama baba wa taifa maana ni kabila lisilo na mipaka wala utaifa 😎
kwaiyo itakua ni kabila la taifa gani? Yani sisi tutakua tunatambulika kama watu wa nchi/taifa gani?
 
kwaiyo itakua ni kabila la taifa gani? Yani sisi tutakua tunatambulika kama watu wa nchi/taifa gani?
Ni raia wa dunia. Nilisema pale mwanzo, fikra zetu lazima ziwe futuristic. Tukiwaza kama makabila ya sasa hatutaleta jipya katika maisha ya mwanadamu 😎
 
Ni raia wa dunia. Nilisema pale mwanzo, fikra zetu lazima ziwe futuristic. Tukiwaza kama makabila ya sasa hatutaleta jipya katika maisha ya mwanadamu.
labda tuwe na nchi yetu pia,,,maana ili tuweze kushiriki mambo yoyote ya kiduniani lazima mtu atambulike anatoka taifa fulani
 
labda tuwe na nchi yetu pia,,,maana ili tuweze kushiriki mambo yoyote ya kiduniani lazima mtu atambulike anatoka taifa fulani
Ni ngumu kupata ardhi kuanzisha nchi nyingine maana tayari ardhi yote inamililiwa na watu.
Ni rahisi kuanzisha kabila ndani ya nchi.
 
Ni ngumu kupata ardhi kuanzisha nchi nyingine maana tayari ardhi yote inamililiwa na watu.
Ni rahisi kuanzisha kabila ndani ya nchi.
yeah ni rahisi, lakini muanzisha kabila kasema tutakua hatupo chini ya taifa lolote…ndo nikahoji itawezekanaje
 
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.

Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.

Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.

Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.

Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎
Nimecheka hata sijui kwa nini
 
Kbila letu jipya tutakua tunavaa nguo za kisasa kabisa tena zile top brands
 
Back
Top Bottom