Nataka kuanzisha Kabila jipya na la kisasa

Nataka kuanzisha Kabila jipya na la kisasa

Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.

Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.

Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.

Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.

Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. [emoji41]
Lazima dishi limeyumba huyu
 
Msichokijua haya myaitayo makabila mengi yalikuwa ni himaya au kifupi nchi Zinazojitegemea.

Zenye mifumo kamili ya kiutawala, njia za kiuchumi na mifumo ya kiimani.

Kabla hawajavurugwa, hawajapigwa, hawajatawaliwa, hawajatekwa, hajaja mkoloni, biashara ya utumwa na kuletwa Miungu ya kigeni kwenye himaya zetu.
 
Kabila halianzishwi na mtu bali linaanzishwa na Mungu mwenyewe na tayari makabila yalishaanzishwa na kamwe huwezi pata kabila jipya nje ya makabila yaliyokuwepo. kuanzisha kabila jipya ni sawa na mtu kuanzisha bahari mpya mbali na bahari hizi zilizokwishakuwepo.
Siyo kweli. Kuanzisha kabila jipya ni kitu kinachowezekana kabisa ni mipango tu na uvumilivu 😎
 
Labda uliite sukuma gang, friends of mama, maridhiano clan, democracy family au republic alliance for new recouncillation of national au jina lolote lenye sound ya kisiasa huenda ndio ikawa kabila lenyewe la kisiasa
Msoga connection 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Zipo jumuiya (societies) zenye mrengo mmoja na utaratibu wa pekee pamoja na itikadi yao ya kipekee. Zipo brotherhoods mbalimbali kama Freemasonry, Illuminati, Sculls and Bones, Knight Templers, mashirika ya kitawa ndani ya Kanisa Katoliki yanayoishi kama familia ndogo ndogo na kubwa kubwa, n.k.

Kwa ujumla halitakuwa jambo nje ya hayo niliyotaja hapo. Kuliita kabila utaita hivyo lakini utaishia na mifumo kama niliyotaja hapo juu.
Nilitegemea kuna mtu atalisema hili.

Kuna watu niliwajibu suala la utambulisho siyo muhimu sana kwa sasa maana hakuna faida zozote za moja kwa moja kwa sasa kutaka kabila hilo kutambulika.

Na pia ni muhimu kujua vigezo vya kabila kutambulika ni vipi 😎
 
Siyo kweli. Kuanzisha kabila jipya ni kitu kinachowezekana kabisa ni mipango tu na uvumilivu 😎


Kabila linakuwa na lugha yake, tamaduni na mila zake na kubwa zaidi mila na tamaduni zinajengwa kulingana na genetics za watu wa kabila husika na ndio maana nasema huwezi kujenga a pure tribe from the scratch, lakini unaweza kujenga kabila moja kubwa lenya mkusanyiko wa makabila kadhaa ya asilia ambayo tayari yapo.. na hapo utakuwa simply umejenga taifa na sio kabila.
 
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.

Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.

Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.

Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.

Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎
Lipo nimelianzisha kitambo na tupo 95 sasa,tunaongea lugha yetu mpya inaitwa KIKUMBO na kabila letu linaitwa BAKUMBO.Baada. ya miaka 700 litakua taifa kubwa sana hapa africa.
 
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.

Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.

Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.

Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.

Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎
Acha bangi mujndo wa makabila hauanzishwi kama unavofikiria ni kitu imekaa kama asili(nature)
 
kwaiyo itakua ni kabila la taifa gani? Yani sisi tutakua tunatambulika kama watu wa nchi/taifa gani?

Linaweza kuwa ni kabila la wahazabe lakini walio changamka yani wa mjini, na lugha ile ya wahazabe lakini inaboreshwa inakuwa luga yetu sasa[emoji23][emoji23][emoji23] apo unasemaje mkuu? Ila tunasubiri mwenyekiti atoe muongozo haya ni mawazo tu
 
Kabila linakuwa na lugha yake, tamaduni na mila zake na kubwa zaidi mila na tamaduni zinajengwa kulingana na genetics za watu wa kabila husika na ndio maana nasema huwezi kujenga a pure tribe from the scratch, lakini unaweza kujenga kabila moja kubwa lenya mkusanyiko wa makabila kadhaa ya asilia ambayo tayari yapo.. na hapo utakuwa simply umejenga taifa na sio kabila.
Hizo lugha, tamaduni na mila ndiyo tunaenda kuziunda sisi wenyewe ila badala ya kusubiri zije zenyewe kwa kiasi kikubwa tunazipa miongozo. Genetics zitajengwa pia kutokana na kuzaliana na muingiliano kati ya members kwa muda mrefu 😎
 
Wewe hauna tofauti na Nimrod wa mnara wa Babeli, muulize kilichompata.

Nguvu iliyo nyuma ya wazo lako sio nzuri. Utapotea
Kwa nini unasema hivyo? Embu dadavua kidogo. Kuna dhambi yoyote katika kuanzisha kabila? 😎
 
Nalo hili litakuwa naturally made. Kubadili makabila ya sasa ni ngumu sana maana hata viongozi wake hawana nguvu tena wala ushawishi. Njia pekee ni kuanza upya [emoji41]
Fanya hima uanze, sijui una umri gani sasa, angalau miaka 70 mpaka 80 ya maisha yako ushuhudie juhudi zako za msingi zikiwa zinatokea.
 
Linaweza kuwa ni kabila la wahazabe lakini walio changamka yani wa mjini, na lugha ile ya wahazabe lakini inaboreshwa inakuwa luga yetu sasa[emoji23][emoji23][emoji23] apo unasemaje mkuu? Ila tunasubiri mwenyekiti atoe muongozo haya ni mawazo tu
tumsubiri mwenyekiti atoe muongozo na sisi yutoe mawazo yetu
 
Mdogo mdogo hili wazo naendelea kulifanyia kazi. Baada ya vizazi kadhaa nitawaletea mrejesho 🤣😂
 
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.

Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.

Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.

Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.

Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎
Tujue IQ yako kwanza
 
Huku wameanzisha tayari la mashoga na linakuwa haswa
Wanataka liwe kabila la kimataifa
Tuache hayo
Kuna wazungu America waliamua kujitenga na watu wengine kwa ajili ya tabia za hovyo na wizi
Walichukua ardhi kubwa sana wakajichagua the finest wakaanza kujenga nyumba zao na bonge la fence
Wameweka shule zao, hospital, markets, yaani kijiji chao
Unaacha mlango wazi na kama ulikuwa unatengeneza gari lako au unasafisha garden, tools zote unaacha nje hakuna wa kugusa
Wanasaidiana kwa kila jambo
Yaani kuingia hiyo community lazima CV yako iwe Safi haswa

Natamani nianzishe ya hivyo kama wewe au tuanze
Masharti tunakataa yaliyo mabaya yote
 
Back
Top Bottom