yeah ni rahisi, lakini muanzisha kabila kasema tutakua hatupo chini ya taifa lolote…ndo nikahoji itawezekanaje
Mimi siko sana kwenye utambulisho kwa maana hakuna faida zozote tukitambulika sasa. Cha msingi ni taratibu kujenga misingi imara ya kabila letu.Hapo atujuze😀😀
Mtakuwa na lugha yenu auJina bado na litakuwa siri hadi hapo baadae [emoji41]
Umeshaanza kufeli mkuuKwenye kabila letu hatutamtambua Nyerere kama baba wa taifa maana ni kabila lisilo na mipaka wala utaifa [emoji41]
Yeah, tutazungumza kiswnglish ili tubalance mamboMtakuwa na lugha yenu au
Ova
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision.
Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.
Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.
Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.
Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.
Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎
Zipo jumuiya (societies) zenye mrengo mmoja na utaratibu wa pekee pamoja na itikadi yao ya kipekee. Zipo brotherhoods mbalimbali kama Freemasonry, Illuminati, Sculls and Bones, Knight Templers, mashirika ya kitawa ndani ya Kanisa Katoliki yanayoishi kama familia ndogo ndogo na kubwa kubwa, n.k.Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea.
Imagine kundi dogo la watu wakae chini wajenge vision moja ya aina ya watu wanaotaka kuwa halafu kwa umakini mkubwa waanze kujijenga kwa vizazi kadhaa.
Baada ya muda fulani wawe na elimu na maarifa ya hali ya juu, wawe na mila na desturi ambazo ni mpya na tofauti lakini ambazo ni modern kama siyo futuristic. Imagine uunde kabila ambalo limetapakaa dunia nzima, wawe watu wenye mamlaka katika serikali kubwa duniani, katika majeshi, taasisi za media, fedha na zingine zenye ushawishi kabla hata hilo kabila halijajulikana au kutambulika rasmi.
Hilo ndiyo nakusudia kufanya na najua kwa uvumilivu linawezekana. Sitakuwepo wakati hilo limestawi ila nitajivunia kupanda mbegu hiyo.
Napokea ushauri, ukosoaji na pia wale wanaotaka kushiriki katika mwanzo huu mpya mnakaribishwa. 😎