Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 887
Husika na kichwa cha habari.
Well nina eneo liko mbele ya barabara ya lami maeneo ya Kijitonyama nataka kufanya pawe kijiwe cha kuuza magari used....about (300 sqm au 350 sqm).
Mwenye gari anaetaka uza anakuja ku park gari inakua sokoni tukiuza napata %, walengaji na walengwaji kama kawa watakaribishwa.
Madalali tuta wa consider tho bado its a rough idea.
Hii imekaaje wakuu? Maana yote katika kujikwamua kiuchumi.
Karibuni kwa maoni na kama kuna wazo mbadala karibu pia.
Many thanks
Well nina eneo liko mbele ya barabara ya lami maeneo ya Kijitonyama nataka kufanya pawe kijiwe cha kuuza magari used....about (300 sqm au 350 sqm).
Mwenye gari anaetaka uza anakuja ku park gari inakua sokoni tukiuza napata %, walengaji na walengwaji kama kawa watakaribishwa.
Madalali tuta wa consider tho bado its a rough idea.
Hii imekaaje wakuu? Maana yote katika kujikwamua kiuchumi.
Karibuni kwa maoni na kama kuna wazo mbadala karibu pia.
Many thanks