wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Soma uzi mpaka mwishoKwahiyo pia itakaguliwa mtandaoni, muache kukariri mambo, hata Japani bado kuna yard za kuuza magari, mbona unadiscourage mwenzio mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma uzi mpaka mwishoKwahiyo pia itakaguliwa mtandaoni, muache kukariri mambo, hata Japani bado kuna yard za kuuza magari, mbona unadiscourage mwenzio mkuu.
Mkuu vipi hako kaeneo naweza kupata hata pa kujibanza niwe naleta biashara yangu ya majeneza hata kwa pembeni kidogo nayapanga hapo then kila ninapouza unapata asilimia zako?
Maana kuna kijiwe nilipata hapa karibu na Muhimbili lakini nineona niwe na branch hata tatu hivi kwa hapa Dar maana kule Dom biashara sio nzuri kivile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Dodoma hawafi saana? Au wanaokufa wengi ni waislamu
[emoji23][emoji23]
Tulishachat pm .What is it mkuu ?? [emoji41]
Have we met before mkuu ??
Mkuu , vipi Huko maeneo ya muhimbili,Mkuu vipi hako kaeneo naweza kupata hata pa kujibanza niwe naleta biashara yangu ya majeneza hata kwa pembeni kidogo nayapanga hapo then kila ninapouza unapata asilimia zako?
Maana kuna kijiwe nilipata hapa karibu na Muhimbili lakini nineona niwe na branch hata tatu hivi kwa hapa Dar maana kule Dom biashara sio nzuri kivile