Nataka kuanzisha kijiwe cha kuuza magari used, kuna eneo mbele ya barabara ya lami


Hii biashara aisee hapana. Niwe tu mkweli.
 
Dodoma hawafi saana? Au wanaokufa wengi ni waislamu

[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Kule ni nyumbani kama ujuavyo nabii hakubaliki kwao ndio maana biashara inakuwa nzuri nikiwa Dar ila kijiwe changu cha Dom wateja wachache tena wengi wao wanatumia ile kufahamiana eti ndo upunguze bei ya jeneza mbaya zaidi wengine wanakuja kukopa eti msiba ukiisha watakuja kulipa
 
Fika kwanza ofisi za TRA usije ukapewa kesi ya uhujumu uchumi tukakupoteza wana Jf
 
Mkuu , vipi Huko maeneo ya muhimbili,
Kunazo nafasi Nijisogeze kuweka cafeteria hapo ....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…