Nataka kuanzisha website au App ya Elimu, iguse wanafunzi shule ya msingi mpaka university

Nataka kuanzisha website au App ya Elimu, iguse wanafunzi shule ya msingi mpaka university

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2019
Posts
248
Reaction score
539
Wakuu naangaika kupata idea ya kuanzisha digital platform ambayo itakuwa msaada kwa wanafunzi wa ngazi zote kuanzia primary mpaka university.

Nataka iwe ya tofauti kidogo isifanane na shule direct, mtabe wala smartclass.

Nilikuwa nawaza kuwa na app ya kuuza vitabu ila nikaona bado utamaduni kununua vitabu ni hafifu bongo.

Nikataka nije na idea ya kusaidia watoto homework online but inahitaji investment kubwa sana haswa human resource.

Bado nna struggle

Kama kuna mtu ana wazo lolote anisaidie.
 
Anzisha Platform ya kuuliza na kujibu maswala.
Yaani hapo wanafunzi wanauliza walimu wanajibu, pia inakuwa automatically ina leta majibu kwa maswali yaliyo wahi kuulizwa au kujibiwa hapo inaweza kuwa kimbilio kwa Wanafunzi hasa wanachuo.
 
Anzisha KWA uwezo wako .. Alafu uainishe ni KWA namna Gani Pesa inapatikana kwenye platform yako...
Statements ziwe clear siyo za kubumba ..
Kuwe na legal structures alafu ..

Turaise funds .. KWA croudsourcing ama KWA investors .
 
Andika idea Kisha tafuta stakeholder and then fanya mchakato na dev wanaoleweka.



Ukiandija waoe watatoa mawazo yao
Wakuu naangaika kupata idea ya kuanzisha digital platform ambayo itakuwa msaada kwa wanafunzi wa ngazi zote kuanzia primary mpaka university.

Nataka iwe ya tofauti kidogo isifanane na shule direct, mtabe wala smartclass.

Nilikuwa nawaza kuwa na app ya kuuza vitabu ila nikaona bado utamaduni kununua vitabu ni hafifu bongo.

Nikataka nije na idea ya kusaidia watoto homework online but inahitaji investment kubwa sana haswa human resource.

Bado nna struggle

Kama kuna mtu ana wazo lolote anisaidie.
 
Anzisha KWA uwezo wako .. Alafu uainishe ni KWA namna Gani Pesa inapatikana kwenye platform yako...
Statements ziwe clear siyo za kubumba ..
Kuwe na legal structures alafu ..

Turaise funds .. KWA croudsourcing ama KWA investors .
Nimeshaiandika idea.

Hapo kwenye kuraise fund naomba nifafanulie kidogo mkuu
 
Anzisha Platform ya kuuliza na kujibu maswala.
Yaani hapo wanafunzi wanauliza walimu wanajibu, pia inakuwa automatically ina leta majibu kwa maswali yaliyo wahi kuulizwa au kujibiwa hapo inaweza kuwa kimbilio kwa Wanafunzi hasa wanachuo.
Hii ni super idea, nikifanikiwa nitakurudia mkuu uone wazo lako linavyofanya kazi.
 
Umeshafungua kampuni , umekamilisha legal structures zote, Platform inafanya KAZI au ni idea tuu mkuu?
Ni idea tu mkuu, bado hakuna nilichoanza rasmi.

Nilichonacho kwa sasa ni contents za primary na secondary schools.
 
Jamaa nyuzi zote anaandika yeye tu

Ipo Kama Copycate ya Jamiiforums ila ina Good User Experience na User Interface.
Kwakua ndo anaanza ni lazima aandike hakuna namna, ila akiwa mzuri katika namna ya kuipromote atapata tu raia maana mimi mpaka leo sikuwa najua kama kuna jamiitalk, hii inaonyesha kiasi gani amefeli kweye kuitangaza.
 
Back
Top Bottom