SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Ndugu wana jamii wa Jamii Forums, naombeni ushauri wenu katika hili.
Nilipokuwa A-Level nilikuwa nina matatizo fulani shuleni na matokeo ya form 6 yalipotoka sikupata matokeo mazuri na naamini mpaka leo kuwa kuna kamchezo kalifanyika. Hili jambo limekuwa linaniuma sana kwa sababu naona kama nilionewa.
Miaka zaidi ya 10 imepita, je naruhusiwa bado kwenda kuappeal ili mitihani yangu iangaliwe upya?
Nilipokuwa A-Level nilikuwa nina matatizo fulani shuleni na matokeo ya form 6 yalipotoka sikupata matokeo mazuri na naamini mpaka leo kuwa kuna kamchezo kalifanyika. Hili jambo limekuwa linaniuma sana kwa sababu naona kama nilionewa.
Miaka zaidi ya 10 imepita, je naruhusiwa bado kwenda kuappeal ili mitihani yangu iangaliwe upya?