Nina akili na ugenius, MINOCYCLINE atasubiri.Kwa akili ipi u-appeal?
Kwa lugha ya kisheria ushakuwa TIME BARRED.Ndugu wana jamii wa Jamii Forums, naombeni ushauri wenu katika hili.
Nilipokuwa A-Level nilikuwa nina matatizo fulani shuleni na matokeo ya form 6 yalipotoka sikupata matokeo mazuri na naamini mpaka leo kuwa kuna kamchezo kalifanyika. Hili jambo limekuwa linaniuma sana kwa sababu naona kama nilionewa.
Miaka zaidi ya 10 imepita, je naruhusiwa bado kwenda kuappeal ili mitihani yangu iangaliwe upya?
πππππKwa akili ipi u-appeal?
Kuna Watanzania toka mmeijua ladha ya pesa hamchoki kuonyesha ushamba wenu. Mnadhani pesa ndiyo kila kitu.Mleta mada umri huo bado unalilia matokeo ya kidato cha sita ili iweje?
Unataka kwenda kukopea benki?
Wenzio hayo matokeo tumeshayasahau sasa hivi tunataka kujua benki kuna salio kiasi gani?
Tafuta pesa aiseee hakuna duka linalouliza matokeo yako ya kidato cha sita,wao wanataka pesa yako tu.
Na mim nisaidie kuuliza.Ndugu wana jamii wa Jamii Forums, naombeni ushauri wenu katika hili.
Nilipokuwa A-Level nilikuwa nina matatizo fulani shuleni na matokeo ya form 6 yalipotoka sikupata matokeo mazuri na naamini mpaka leo kuwa kuna kamchezo kalifanyika. Hili jambo limekuwa linaniuma sana kwa sababu naona kama nilionewa.
Miaka zaidi ya 10 imepita, je naruhusiwa bado kwenda kuappeal ili mitihani yangu iangaliwe upya?
Endelea kuuza viatu mkuuNa mim nisaidie kuuliza.
Naweza apil matokeo yangu ya darasa la saba ya mwaka 2002.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo wana zarau,nataka nipate walau kadiproma kakuvimbia mtaan.Endelea kuuza viatu mkuu