klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hapana! nataka nimfanyie mahubiri. kizazi cha nyoka hiki, inabidi tufanye kazi ya ziada kukiokoaHaya bana...naona uko mawindoni...kila la heri!
Uwii...Kloro unaenda kanisani bila hata mimi kujua naolewa?
hapana! nataka nimfanyie mahubiri. kizazi cha nyoka hiki, inabidi tufanye kazi ya ziada kukiokoa
mbona huku PM tunaongea vyengine na hapa unaongea vyengine? lolUwii...Kloro unaenda kanisani bila hata mimi kujua naolewa?
unajua huyu lizzy ni mwali sasa kanaona aibu aibu kidogo lakini kila kitu kimemaliza, tunaomba usimamie mambo ya vinywaji siku ya harusiOhhh!!!! kumbe ananifunga kamba...ndo maana nimemshtukia....!!!!!
mbona huku PM tunaongea vyengine na hapa unaongea vyengine? lol
ukihisi imani inapungua pungua usisite kuwasiliana na mimi. lakini napenda kuhubiria mmoja mmoja. hapa hazarani inakuwa mahubiri hayanogiOhhh!!! siku hizi unamsaidia Rev Masa kwenye hiyo huduma???
unajua huyu lizzy ni mwali sasa kanaona aibu aibu kidogo lakini kila kitu kimemaliza, tunaomba usimamie mambo ya vinywaji siku ya harusi
ukihisi imani inapungua pungua usisite kuwasiliana na mimi. lakini napenda kuhubiria mmoja mmoja. hapa hazarani inakuwa mahubiri hayanogi
akija michelle asubuhi anaweza akaparaganya kila kitu hapa. yeye kajiunga JF kuniwekea kauzibe mimi tu.Basi ngoja azoee, halfu akutambulishe rasmi...halfu tutaanza kupeana majukumu!
hapana anatumiaga mitishamba huyuSidhani kama ni kweli...unless una hidden agenda.....una mpango wa kumpa Klorokwin nini?
dah! keren happuch, harusi imehairishwa until faza notis.Tangu niwe mama mchungaji PM nilifunga!Kuna mtu anakusanii wewe!
Usimsikilize Kloro mwaya!Anataka kunizeesha mtoto wa watu!
dah! keren happuch, harusi imehairishwa until faza notis.
lakini lizzy , ni vyema ukakubali nikakupa mauzoefu. unajua ndoa ni kitu kizito sana. ni bora upite transit kwangu halaf uelekee kwenye ndoa ukiwa fulu maeksperiensi. hata umri wako unaruhusu transitUsimsikilize Kloro mwaya!Anataka kunizeesha mtoto wa watu!
mimi najua michelle tu huyu keshaharibu. dah! senksi mwanawe jobPole Kloro. but usijali, unaweza na wewe ukaanzisha tu sredi la kutangaza nia...mimi ntakua kampeni manager....!