Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Mbona povu hivo ndugu yangu hata nikiwa Malaya nafanyia kwenye hicho kibamia chako, nikiachika wewe unaumia nini, ndio hata nikiwa chagundoa babu wewe inahuuuu, Mimi sijiuzi sehemu cheap hzo najiuza kwa wazito wazito babu weee, tena jifunze kumkojoza mkeo vzuri aache kuchepuka
 
Non-wife material,maskini unakuta kuna kajamaa kamekupa moyo wake kwa dhati ,nasema katapta tabu sana
Wewe ndo husband material eeeh, lazima anipe moyo wake laazizi wangu loh
 
Akitoka nje ya ndoa,,, kifo kipo mkononi mwake nikijua... But akiwa nje ya ndoa wala sina maneno

Mwenzio nilicalculate...ila majibu siyo lazima yawe sawa maana hii ni social science engineering
 
Chepuka ila muulize huyo unaechepukanae mkibambwa atakujalitena?.
 
chepuka tu mradi ufanye siri
 
kunywa chochote kwa gharama yangu...please.....asipokuelewa wewe..hata mashetani watamshangaa....!!
 
kunywa chochote kwa gharama yangu...please.....asipokuelewa wewe..hata mashetani watamshangaa....!!
Aaaaa juice ya miwa mkuu inanitosha shabaan anasubiri pesa yake hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…