Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Bila shaka wewe umeachika kwasababu ya umalaya... I realize it from your comments... Ni type ya hovyo ya mwanamke kuwahi kutokea...inaonyesha huna mume ila ni changudoa unaejiuza kimboka, sudan au kinondoni.. Huna maana mwanamke kucomment upumbavu kama huo. Yaani wewe ndo unawakilisha wanawake dah so stupid...
Mbona povu hivo ndugu yangu hata nikiwa Malaya nafanyia kwenye hicho kibamia chako, nikiachika wewe unaumia nini, ndio hata nikiwa chagundoa babu wewe inahuuuu, Mimi sijiuzi sehemu cheap hzo najiuza kwa wazito wazito babu weee, tena jifunze kumkojoza mkeo vzuri aache kuchepuka
 
Non-wife material,maskini unakuta kuna kajamaa kamekupa moyo wake kwa dhati ,nasema katapta tabu sana
Wewe ndo husband material eeeh, lazima anipe moyo wake laazizi wangu loh
 
Akitoka nje ya ndoa,,, kifo kipo mkononi mwake nikijua... But akiwa nje ya ndoa wala sina maneno

Mwenzio nilicalculate...ila majibu siyo lazima yawe sawa maana hii ni social science engineering
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Chepuka ila muulize huyo unaechepukanae mkibambwa atakujalitena?.
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
chepuka tu mradi ufanye siri
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo.
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
kunywa chochote kwa gharama yangu...please.....asipokuelewa wewe..hata mashetani watamshangaa....!!
 
Back
Top Bottom