Umri wako tuanzie hapoHahaaaa, hapo kwenye kufanywaa sasa.
Kama hutaki watoto wapate malezi ya single parent basi komaa na kero za mumeoUzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent
mke wa mtu sumu shauri ako.. unataka tumuone jujujr wazi wazi na alivyo mweusi kama mpingo
Mimi ni mume wa mtu pia na kuna mdada mke wa mtu pia hapa mtaani tumeelewana balaa!
Au ndio wewe nin?
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
Kwani akiachika ndo itakuwa mwisho wa dunia?
Fcuk it.
Acha achepuke tu.
Duh!na wanajua kucheza na muda ukimuambia saa nne uwe hapa anakuja kweli saa nne tena kasoro sio kamili
Tamaa mbele mauti nyuma.tamaa mbele ukimwi nyuma.waonee huruma wanao.
HahaChepuka ila usikute huyo Mume wa mtu ni Mume wangu.
Nikikudakaaaa maji lazima uite mma!!
wewe ni kenge
Tongoza wewembona unanizungusha sasa
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
Nauhakika Adi unaandika huku Basi ushachepeka siku nying.so endelea tuu.ila usilete ukimwi nyumban
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unajuaLakini mapenzi sio kusimamisha tu, kuna watu wanakojozwa na maneno matamu tu
Wa katoe tuu mzigo.majuto mjukuu.dah nataman ningekua uyo kijana ndo Mimi sijui Kama ungemueshimu mmeo tena..ha ha ha....Wallahi sijawahi.
Usisahau kubeba KY- ili kulinda marindaHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Subiri siku upigwe kitu cassava. Hutarudia tena.Hakuna cha ajabu!
Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...
Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.
Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.