Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Unaenda kupigwa deki hadi masikio yanaziba nakwambia. Hilo harage litasuguliwa hadi uhisi unakata network. Na utalewa kwa sh@h@w@ utazokojolewa huko hadi unogewe(kutokana na uzoefu tu lkn)
 
Uzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent
Kama hutaki watoto wapate malezi ya single parent basi komaa na kero za mumeo

Sababu tunajua madhara ya kuchepuka matokeo hua vipi
 
Nauhakika Adi unaandika huku Basi ushachepeka siku nying.so endelea tuu.ila usilete ukimwi nyumban
 
Mimi ni mume wa mtu pia na kuna mdada mke wa mtu pia hapa mtaani tumeelewana balaa!

Au ndio wewe nin?
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
Kwani akiachika ndo itakuwa mwisho wa dunia?

Fcuk it.

Acha achepuke tu.
na wanajua kucheza na muda ukimuambia saa nne uwe hapa anakuja kweli saa nne tena kasoro sio kamili
Duh!
 
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.

Thread bila picha hainog weka picha yako mkuu
 
Mchepukaji unauliza jinsi ya kuchepuka.mpe tena ikiwezekana mpe hadi tigo pesa na muhonge pesa ya matumizi unayoachiwa na mumewe alafu uje kutupa mrejesho.
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Usisahau kubeba KY- ili kulinda marinda
 
Hakuna cha ajabu!

Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...

Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.

Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
Subiri siku upigwe kitu cassava. Hutarudia tena.
 
SAA nyingine kuchepuka ni tiba ukishachepuka tu, utampuuza huyo mumeo hata akuudhi vipi unakuwa na Amani. Follow ur intuition my mom wanaume ni kero mno jipe raha
 
Back
Top Bottom