Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Hakuna cha ajabu utakachokutana nacho Zaidi ya kujishushia heshima kwa uliyetembea nae na kwa mumeo akijua.


Kutembea nje ya ndoa kwa mwanamke naamini ni kumdhalilisha mumeo. Yule ulitembea nae hatamuheshimu mumeo hata mara moja.

Na utamfanya mumeo ajione si lolote mbele ya jamii. Tujaribu kuwapa heshima zao wanaotupa heshima ya kuwa wake zao.

Asante dear
 
Sio kila unachotamani lazima ufanye. Endapo utafanyaje jiandae for a life time self insult. Kibaya ni kwamba hutaacha Ukianza na utatafuta hata mchepuko mwingine na mwingine huku dhamira ikikusuta. Kama utakaidi hayo ndio yatajiri(kwa sauti ya Kala Jeremiah)
 
Mimi sio shosty ila nakushauri
Tafiti zinaonesha 82% ya wanawake waliochepuka waliachika na upande wa wanaume 7% tu ndoa ziliyumba. Sasa sijui upande wako utakuwa kwa ile 82% ambao baada ya kugundulika waliachika au utakuwa upande salama wa 18% asilimia
 
Nimecheka hapo ulipowaita wababa pia waje kukushauri yani umemwaga chumvi juu ya moto ha ha ha ha hiyo kiboko.
fata moyo wako hapa utakutana na wasafi classic wakupe mahubiri, lakini pia ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye.....amua we mwenyewe
 
Nimecheka hapo ulipowaita wababa pia waje kukushauri yani umemwaga chumvi juu ya moto ha ha ha ha hiyo kiboko.
fata moyo wako hapa utakutana na wasafi classic wakupe mahubiri, lakini pia ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye.....amua we mwenyewe

Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
 
Toa pochi manyoya hilo litafunwe kitaa..
Maana kama ulishaamua unataka kutafunwa ushauri unaomba wa nini??
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
CHEPUKA TU ILA TUMIA KINGA NA USIJE MLETEA DHARAU MUME WAKO
 
Back
Top Bottom