Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Utadhani hawachepuki hao wanaume utadhani wanachepuka na wanaume wenzao.....mtumishi niombee ha ha haHaha gelofrend utaua watu kwa presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani hawachepuki hao wanaume utadhani wanachepuka na wanaume wenzao.....mtumishi niombee ha ha haHaha gelofrend utaua watu kwa presha
Haha nacheka kama mazuri jamani. Comments zenu zinaharibu weekends za wanaume wengiWanamtisha tu huyo, akagongwe tu apate anachokikosa kwa mumewe
Watu wanachepuka na hawaaachiki mkuu, sikuhizi michepuko ni kawaida mbona nyie wanaume ndo mnaona mko sahihi eeehMmh mtazidi kuachika tu kumbe hamna namna
😀 😀 😀Umeona eeeh Leo humu kila mtu kashika dini kwao ndo inauma sana
Wewe lazima una mchepuko maana mkiona mwanamke anachepuka mnafikiri woteDuuh[emoji15] [emoji15] ngoja niahame uzi kwanza
Hili nalo nenoWanamtisha tu huyo, akagongwe tu apate anachokikosa kwa mumewe
Me vifungu na ushauri natoaga kwa wanaume tu, maana wanawake vifungu na makungwi ni tangu ukiwa tumboni akhaa. Amuinamishe tu huyo shetani tehha ha ha hebu mpe mamy k vifungu vya bible akasome naona shetani anataka kujiinua
Haki kuchapiwa kunauma, yani usiposoma vizuri unaweza ukahisi upo jukwaa la dini, kumbe MMU [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Umeona eeeh Leo humu kila mtu kashika dini kwao ndo inauma sana
Mimi nawashangaa hao wanaomtishatisha eti oooh sijui ndoa yako imefanyaje sijui nini nini- , waaaapi!!Haha nacheka kama mazuri jamani. Comments zenu zinaharibu weekends za wanaume wengi
Nimeolewa na wanaume wawili
Teh kila mtu ajiombee nafsi yake mwenyewe. Yani wanapohalalisha wanaume kuchepuka sijui wanataka wachepuke wenyewe kwa wenyewe mweeh ntaongea na kinyakyusa mimiUtadhani hawachepuki hao wanaume utadhani wanachepuka na wanaume wenzao.....mtumishi niombee ha ha ha
Huko kumtisha kuna wanawake wanachepuka na hawajaaxhika hafu kuchepuka kunakufanya upuuze maudhi ya mume na michepuko yakeHuyu bibie anaihatarisha zaidi ndoa yake kuliko huyo mwanamme mzee baba.
hata hili halihitaji kuwaza saana.
ha ha ha ha katibu wangu nakuona nakuonaMe vifungu na ushauri natoaga kwa wanaume tu, maana wanawake vifungu na makungwi ni tangu ukiwa tumboni akhaa. Amuinamishe tu huyo shetani teh
Sasa mkuu unadhani hao wanaochepuka na hawajaachika hawahatarishi ndoa zao?Huko kumtisha kuna wanawake wanachepuka na hawajaaxhika hafu kuchepuka kunakufanya upuuze maudhi ya mume na michepuko yake
Kusema za ukweli, wanawake wengi wanachepuka na wachepukaji wa sasa hivi wapo smart katika kufanikisha upumbavu wao. Anatoka, anachepuka, akirudi anatulia huyo, hakuna tena kugombana na mume hata akilala nje week nzima akhaaaa. Utarudi majogoo atakupokea kwa magoti na pambio. Afu mume anayemzingua mkewe kwa ujinga wake atakuwa busy kujisifia "mke wangu amekomaa kiakili, hata nilale nje hajali kabisa". Teh akomae yeye naziMimi nawashangaa hao wanaomtishatisha eti oooh sijui ndoa yako imefanyaje sijui nini nini- , waaaapi!!
Yaani huyo mama akienda kutiwa huko hatosahau kwa utamu ataoupata na akikutana na mzee wa rough ndio atawehuka kbs na atajilaumu miaka yote kaukosa utamu wa mshedede
Ndoa zinazishikwa na watoto sio ndoa, hata wao watakuwa wanajua kuwa mnajilazimisha tu kuwa pamoja. Kaeni, muongee na kubainisha tatizo na amueni kuanza upya, tangazianeni msamaha na Mungu atawasimamia.Uzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent
Nina visa viiiingi mno vya nyie wake za watu. Mna mambo sana nyie watu(japo hamjit0mb! ,tunawat0mb@). Mnajituma ile ileKusema za ukweli, wanawake wengi wanachepuka na wachepukaji wa sasa hivi wapo smart. Anatoka, anachepuka, akirudi anatulia huyo, hakuna tena kugombana na mume hata akilala nje week nzima akhaaaa. Utarudi majogoo atakupokea kwa magoti na pambio. Afu mume anayemzingua mkewe kwa ujinga wake atakuwa busy kujisifia "mke wangu amekomaa kiakili, hata nilale nje hajali kabisa". Teh akomae yeye nazi
Mlikuwa mshafanya yenu tyr lakini...Ilitokea tu nikamkubali mtu mtaani
Nikajifanya nunda nikamtafuta
Tukaelewana, Ile siku tunaenda kufanya yetu natoka mlangoni Mr huyu hapa
Usiulize kilifata nini!
Sasa mbona mama akitafta faraja pembeni mnamtisha ooh kuachika cjui nini wanaume ndo hamuatarishi eehSasa mkuu unadhani hao wanaochepuka na hawajaachika hawahatarishi ndoa zao?
Binadamu bana kwa ubinafsi; yeye kuonja varieties sawa tu, ila mwenzake awe faithful tu kwake heheha ha ha ha katibu wangu nakuona nakuona