Nataka kufungua Kiwanda cha Peanut Butter, naombeni uzoefu!

Nataka kufungua Kiwanda cha Peanut Butter, naombeni uzoefu!

Ni ngumu kukujibu hili swali inategemea vifaa unavyotaka. Ila tuseme mimi nlinunua mashine ya kusaga karanga 1.4 mls, ya kukaanga 1.3 wanatengeneza veta pale, mashini ya kuweka seal kwenye makopo ikumbuki nilinunua bei gani maana ni blower tu inatoa upepo wenye joto ile seal inajifunga kwenye kopo unachana kama vile imetoka kwa kiwanda, makopo inategemea aina yanauzwa karoakoo. Sticker za kubandika karatasi moja ya A4 nlikuwa napront buku kariakoo. Shida ni kuwa na karanga mkuu. Pia nlikuwa na pkpk ya kusupply so mtaji ulikuwa mls kama 7 na kitu ila niliuweka kwa awamu coz haikuwa main business na ndio maana nadhan haikufanikiwa mkuu
Shukrani sana kiongozi.
 
Ni ngumu kukujibu hili swali inategemea vifaa unavyotaka. Ila tuseme mimi nlinunua mashine ya kusaga karanga 1.4 mls, ya kukaanga 1.3 wanatengeneza veta pale, mashini ya kuweka seal kwenye makopo ikumbuki nilinunua bei gani maana ni blower tu inatoa upepo wenye joto ile seal inajifunga kwenye kopo unachana kama vile imetoka kwa kiwanda, makopo inategemea aina yanauzwa karoakoo. Sticker za kubandika karatasi moja ya A4 nlikuwa napront buku kariakoo. Shida ni kuwa na karanga mkuu. Pia nlikuwa na pkpk ya kusupply so mtaji ulikuwa mls kama 7 na kitu ila niliuweka kwa awamu coz haikuwa main business na ndio maana nadhan haikufanikiwa mkuu
Mauzo yalikuaje? Maana msingi mkuu wa biashara ni mauzo
 
Mauzo yalikuaje? Maana msingi mkuu wa biashara ni mauzo
Sehemu nlizokuwa nasupply kunapeanut inaitwa veo imekamata sana. Ila ile peanut yangu yenye ladha ya chocolate ilikuwa inatoka sana kila aliyeipeleka nyumban watoto waliipenda so order zilikuwa nyingi nyingi kidogo. Kasheshe ni pale karanga zinapopanda bei kama hulimi au huna stock hapo ndipo biashara ilikuwa hailet faida maana unakuta bei inabaki ile ile wakat karanga zimepanda ukisema upandishe wenzako bei inabaki pale pale so changamoto.
Sema pia ukiwa na watu wanajua marketing unauza zaidi
 
Wazo zuri sana brother, I appriciate your contribution.. sema you know what.. nataka kujifunza zaidi kumiliki production line.. not a trading business, naamini sana katika kuzalisha bidhaa mwenyewe maana inanipa access ya kucontrol soko.. kuanzia bei, faida, ubora, supply n.k... so far, my thoughts never allow me to think that i will ever sell someone else's product anymore, i need mine now!! I need to think like a top player.
 
Nadhani muda pia mkuu. Maana nilichukua hadi tbs, nikawa na kakiwanda kadogo. Nikafanya branding. Shida inahitaji uwe na stock ya karanga maana msimu wa karanga karanga zinashuka ikifika msimu karanga zinakuwa adimu zinapanda lakini bei ya kopo la peanut inabaki kuwa vile vile hapo kama huna stock utatengeneza hasara. Sema throughout the journey nilijua kuwa si kila karanga inafaa kwa peanut kuna kaanga kwa ajili ya peanut na karanga ambazo hazifai.
Ningekomaa ningetoboa sema mambo yalikuwa mengi nikasitisha toka mwaka juzi. Mwaka jana nikanunua mashine ya kukaanga nikiwa na wazo la kuja kuendelea ila sijioni nikifanya hivyo. Nilikuwa na partner na rafk yangu naona naye kwa sasa ana mambo meng tulikuaw 50/50 share
Brother dm me your number please.. tuongee vizuri,
 
Sehemu nlizokuwa nasupply kunapeanut inaitwa veo imekamata sana. Ila ile peanut yangu yenye ladha ya chocolate ilikuwa inatoka sana kila aliyeipeleka nyumban watoto waliipenda so order zilikuwa nyingi nyingi kidogo. Kasheshe ni pale karanga zinapopanda bei kama hulimi au huna stock hapo ndipo biashara ilikuwa hailet faida maana unakuta bei inabaki ile ile wakat karanga zimepanda ukisema upandishe wenzako bei inabaki pale pale so changamoto.
Sema pia ukiwa na watu wanajua marketing unauza.
Ulikua unatengeneza peanut za ukubwa gani na peanut butter moja kwa makadirio ilikua inakugharimu bei gani kuitengeneza kuanzia ikiwa karanga hadi packaging
 
anza kwa kununua kwa wazalishaji wa peanut butter kwa bei ya jumla, alafu kauze rejareja. Utapita picha halisi ya soko lilivyo, malalamiko, wateja wanataka nini, n.k kabla hujatia mguu kuzalisha bidhaa yako
Wazo zuri sana brother, I appriciate your contribution.. sema you know what.. nataka kujifunza zaidi kumiliki production line.. not a trading business, naamini sana katika kuzalisha bidhaa mwenyewe maana inanipa access ya kucontrol soko.. kuanzia bei, faida, ubora, supply n.k... so far, my thoughts never allow me to think that i will ever sell someone else's product anymore, i need mine now!! I need to think like a top player
 
Habari zenu wana jamvi. Hope this thread finds you well.

Bila kupoteza muda, naomba niruke kwenye mada moja kwa moja.. ninaomba uzoefu katika nyanja tofauti tofauti za uendeshaji wa kiwanda cha peanut butter,
Kama vile upatikanaji wa Mashine bora na bei zake. Changamoto?? Masoko?? n.k

Nipo dodoma, bila shaka mnafahamu kua karanga ni zao kuu huku kwetu... Kwa hivyo mpango nilionao ni kulima karanga na kuziuza kwa final consumer kama peanut butter.

Nakaribisha maoni, ushauri, uzoefu.. feel free to crush me down!!View attachment 2988986
Market share yako usha calculate?
 
Butter brand zimejaaa sana, ni biashara rahisi ambayo kila mtu anaikimbilia, mashine zimejaaa kuanzia SIDO hadi za China. Ukisha ona Biashara ambayo mitambo yake imezagaa mtaaani ogopa sana hio biashara.

SIDO kila baada ya miezi kadhaaa utawasikia mafunzo ya kuzalisha Penat Bata, ukisha ona unadili na vitu ambayo daily kuna mafunzo ya kuvitengeneza basi huko siko kabisa.

Pita super Markt zote kubwa kubwa angakia brand, utajifunza jambo. Pia utokaji wake.

Ukielewana na muuzaji wa
Suprrmarket au maduka makubwa muulize utokaji wake ukoje,Pia
tambua Blueband,na hizi jam ni close sabstute ya Penati, na familia nyingi sana zina prefer Blueband na Jam,Hata hoteli kubwa wakati wa Break fastJam na Blueband wanatumia.
 
Wazo zuri sana brother, I appriciate your contribution.. sema you know what.. nataka kujifunza zaidi kumiliki production line.. not a trading business, naamini sana katika kuzalisha bidhaa mwenyewe maana inanipa access ya kucontrol soko.. kuanzia bei, faida, ubora, supply n.k... so far, my thoughts never allow me to think that i will ever sell someone else's product anymore, i need mine now!! I need to think like a top player
Ni biashara ngumu sana ambayo itakulazimu utafute vijana wa kutembeza mitaani,Kwenye Supermarket Brand ni nyingi sana na hazitoki kwa speed.

Wengi huishia kuanza kuzungusha mtaani,
 
Ni biashara ngumu sana ambayo itakulazimu utafute vijana wa kutembeza mitaani,Kwenye Supermarket Brand ni nyingi sana na hazitoki kwa speed.

Wengi huishia kuanza kuzungusha mtaani,
Uhalisia uko hivi ila nadhani hizi jam na blue band ni kwasababu zilianza kuzagaa mtaani mapema na watu wakazipenda hivyo hata uzalishaji wa hizi peanut butter ukiwa mkubwa na zikazagaa mtaani kwa bei rahisi na kupata promo ya uhakika watu watabadilika
 
Butter brand zimejaaa sana, ni biashara rahisi ambayo kila mtu anaikimbilia, mashine zimejaaa kuanzia SIDO hadi za China. Ukisha ona Biashara ambayo mitambo yake imezagaa mtaaani ogopa sana hio biashara.

SIDO kila baada ya miezi kadhaaa utawasikia mafunzo ya kuzalisha Penat Bata, ukisha ona unadili na vitu ambayo daily kuna mafunzo ya kuvitengeneza basi huko siko kabisa.

Pita super Markt zote kubwa kubwa angakia brand, utajifunza jambo. Pia utokaji wake.

Ukielewana na muuzaji wa
Suprrmarket au maduka makubwa muulize utokaji wake ukoje,Pia
tambua Blueband,na hizi jam ni close sabstute ya Penati, na familia nyingi sana zina prefer Blueband na Jam,Hata hoteli kubwa wakati wa Break fastJam na Blueband wanatumia.
Umeandika point sana mkuu, inshort ni kwamba soko la peanut sio kubwa kama la blueband, na sio kwamba matumizi ya bluband ni bora kuliko peanut.. ila blueband ina media time yakutosha ..saiz wizara ya afya kipaumbele chao ni kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari, hypertension, Hyperlipidemia, Heart diseases, Strock n.k.. Hii ni kutokana na kwamba magonjwa haya yamekua tishio kuliko hata HIV na Malaria in recent yrs.. na ukiangalia vyanzo vya haya magonjwa ni matumizi makubwa ya sukari, wanga, bad cholesterol kama mafuta yatokanayo na wanyama n.k na ukitizama kwa umakini utagundua jam na blueband zote zinaangukia kwenye kundi la vyakula changizi au sababishi vya magonjwa yasiyo ambukiza... Kwahivyo kwa jamii au familia yenye kuhitaji afya bora peanut butter ni chaguo sahihi.. siagi ya karanga haina wanga wala unwanted bad cholesterol kwa mgonjwa wa sukari ni chaguo sahihi na matumizi yake hayahatarishi maisha yake ukilinganisha na akitumia jamu.. sasa jamii haitambui hili hivyo inahitaji effective marketing kubadilisha mitazamo ya familia nyingi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240518-192730.jpg
    Screenshot_20240518-192730.jpg
    662 KB · Views: 15
  • VID-20230610-WA0059(1).mp4
    5.7 MB
  • Screenshot_20240518-192730.jpg
    Screenshot_20240518-192730.jpg
    662 KB · Views: 13
K
Ukitaka mashine ya kukaanga karanga, ya kusaga na mashine za packing ndogo niambie. Ya kukaanga sijawahi kuitumua, ya kusaga nimeitumua kidogo ina motor ya 1.5 horsepower na mengine. Nimefanya fanya hii kitu nilikuwa natengeneza peanut ya kawaida na yenye ladha ya chocolate. Sema kutokana na sababu kadhaa nilishindwa kutoboa kwenye soko nikaacha
Kwanini unaziuza boss?
 
Ni idea nzuri ila uifanye kama side hustle kwa kuanzia coz ni bidhaa inayotoka taratibu mno
 
Back
Top Bottom