Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
anza kwanza utasajili baadae ila hakikisha umepita SIDO watskubebaProcedures za kuanzisha kiwanda kidogo zipoje,
Kwa maana ya usajili na vibali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza kwanza utasajili baadae ila hakikisha umepita SIDO watskubebaProcedures za kuanzisha kiwanda kidogo zipoje,
Kwa maana ya usajili na vibali
Ha ha haaa mkuu umetisha sana na unaonekana upo vzr kwenye marketing strategy!Zisiwe na mchanga mchanga tu, ukiweza mix na tende alafu iite Mkuu. Kwenye branding weka picha ya mwanaume miraba minne alafu sasa Piga promo kuwa zinaongeza nguvu za kiume.
Hapo kuuzani 100%
Ukiona hiyo ni jau, izo karanga mix na flavour yoyote inayopendwa na wadada, alafu iite Mrembo. Branding weka picha ya mdada mwenye hips zake. Sasa promo sema inaongeza shepu na ni special kwa wanawake.
Utauuzakwa uhakika.
Ukiona sawa fanya vyote vyote si unajua tena mwaka wa ku force huu Mkuu.