Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
 
Kafanye casestudy rombo. Kuna majibu ya kila swali

Emaphakadeni
 
Mkuu unapatikana mkoa gani?Mimi ni mtaalamu wa hizo mashine za pombe,nilifanya kazi kwenye viwanda vya konyagi.
Kama eneo unalo na godowns zipo unahitaji uwe na milioni 100.
Hizo mashine zipo za capacity mbalimbali na size ya chini kabisa huuzwa kwa milioni 50/60 ila lazima uwe na pesa ya ziada ya kununua generators pamoja na kuchimba kisima cha maji.
Kwa maelezo zaidi njoo inbox
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unapatikana mkoa gani?Mimi ni mtaalamu wa hizo mashine za pombe,nilifanya kazi kwenye viwanda vya konyagi.
Kama eneo unalo na godowns zipo unahitaji uwe na milioni 100.
Hizo mashine zipo za capacity mbalimbali na size ya chini kabisa huuzwa kwa milioni 50/60 ila lazima uwe na pesa ya ziada ya kununua generators pamoja na kuchimba kisima cha maji.
Kwa maelezo zaidi njoo inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo waTanzania tunapokosea, kama wewe unajifanyia marketing kwann usiweke kila kitu hapa mpaka inbox? Tupo wengi tunaofatilia na unaweza kubahatisha mmoja wetu kuliko kujifungia inbox.

Ngoja nikupe mfano wangu; kuna mtu aliuliza kuhusu kuanzisha bakery nadhan mwaka 2014 au 2015 ningemwambia anifate inbox watu wengi wasingejua nini nime-inbox nae, kwakua niliweka kila kitu wazi mpaka leo hii 2020 miaka karibu 5 imepita bado napokea simu za watu mbalimbali wanaotaka ushauri zaidi. Wapo wengi nimewasaidia na wanafanya vizuri na wananishukuru japo hawanijui na wala siwajui.
UKITAKA UTUPATE WENGI FUNGUKA KILA KITU HADHARANI MKUU
 
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
Jiandalie makaazi yako katika moto wa Jahannam
 
Back
Top Bottom