Upo vizuri ile kuipika lazima uwe mwonjaji mzuri na ujue kukesha maana hupikwa usiku kuchaNaogopa legal punishments lakini hadi kuipika najua
kwani kitimoto kinauzika tena mwezi huu?Maalim na pombe wapi na wapi??
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.
Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
Nalijua hili lakini akiwa smart na ana bahati atapita.Ukifanikisha “big fish” watakufanyia figisu mpaka wewe mwenyewe utafunga kiwanda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa ushauriNa ukifanikiwa mkuu tengeneza pombe yenye alcohol nyingi angalau 50+ volume hapo utawakamata vijana wengi maana hata hizi SHIMHA zenye alcohol 42 volume azileweshi sasa sijui ni feki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo waTanzania tunapokosea, kama wewe unajifanyia marketing kwann usiweke kila kitu hapa mpaka inbox? Tupo wengi tunaofatilia na unaweza kubahatisha mmoja wetu kuliko kujifungia inbox.Mkuu unapatikana mkoa gani?Mimi ni mtaalamu wa hizo mashine za pombe,nilifanya kazi kwenye viwanda vya konyagi.
Kama eneo unalo na godowns zipo unahitaji uwe na milioni 100.
Hizo mashine zipo za capacity mbalimbali na size ya chini kabisa huuzwa kwa milioni 50/60 ila lazima uwe na pesa ya ziada ya kununua generators pamoja na kuchimba kisima cha maji.
Kwa maelezo zaidi njoo inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiandalie makaazi yako katika moto wa JahannamKama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.
Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.