Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

Wa
Hapa ndo waTanzania tunapokosea, kama wewe unajifanyia marketing kwann usiweke kila kitu hapa mpaka inbox? Tupo wengi tunaofatilia na unaweza kubahatisha mmoja wetu kuliko kujifungia inbox.

Ngoja nikupe mfano wangu; kuna mtu aliuliza kuhusu kuanzisha bakery nadhan mwaka 2014 au 2015 ningemwambia anifate inbox watu wengi wasingejua nini nime-inbox nae, kwakua niliweka kila kitu wazi mpaka leo hii 2020 miaka karibu 5 imepita bado napokea simu za watu mbalimbali wanaotaka ushauri zaidi. Wapo wengi nimewasaidia na wanafanya vizuri na wananishukuru japo hawanijui na wala siwajui.
UKITAKA UTUPATE WENGI FUNGUKA KILA KITU HADHARANI MKUU
Wapigaji wengi jamii forums mkuu
 
Hapa ndo waTanzania tunapokosea, kama wewe unajifanyia marketing kwann usiweke kila kitu hapa mpaka inbox? Tupo wengi tunaofatilia na unaweza kubahatisha mmoja wetu kuliko kujifungia inbox.

Ngoja nikupe mfano wangu; kuna mtu aliuliza kuhusu kuanzisha bakery nadhan mwaka 2014 au 2015 ningemwambia anifate inbox watu wengi wasingejua nini nime-inbox nae, kwakua niliweka kila kitu wazi mpaka leo hii 2020 miaka karibu 5 imepita bado napokea simu za watu mbalimbali wanaotaka ushauri zaidi. Wapo wengi nimewasaidia na wanafanya vizuri na wananishukuru japo hawanijui na wala siwajui.
UKITAKA UTUPATE WENGI FUNGUKA KILA KITU HADHARANI MKUU
Hili tatizo hata mimi nimekutana nalo, sisi watz ujanja ujanja mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
Mkuu ulifanikiwa hii kitu?
 
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
Mkuu vipi ulifanikiwa
 
Hapana aisee iyo ni biashara ya pesa ndefu kidogo na big fish
 
Nalijua hili lakini akiwa smart na ana bahati atapita.
Siku hizi Ni akili tu.

Muhimu anzia Ofisi ya Afisa Afya Wilaya/Manispaa na SIDO utafanya kazi kwa amani.

Zamani kulikuwa na figisu sana TBS ioa ukianzia huko chini inakuwa rahisi.

Mfano, huyu ni brew mpya wa mtu wa chini kabisa tena kwa mtaji mdogo sana. Lakini hapa anasubiri nembo tu, bidhaa zake aingie sokoni.
 

Attachments

  • Polish_20220524_061311319.jpg
    Polish_20220524_061311319.jpg
    556.2 KB · Views: 133
Muanzisha Uzi ulifanikiwa nataka uzoefu wao nami nifungue kiwanda kidogo nipo najenga jengo dogo la kiwanda kwa ajili ya uzalishaji kwanza kwa maelekezo ya Sido maeneo ya Mwandege, vipi ulifanikiwa kufungua chako?
 
Muanzisha Uzi ulifanikiwa nataka uzoefu wao nami nifungue kiwanda kidogo nipo najenga jengo dogo la kiwanda kwa ajili ya uzalishaji kwanza kwa maelekezo ya Sido maeneo ya Mwandege, vipi ulifanikiwa kufungua chako?
Aliwahi kukataa kuwa kawaachia big fishes ye imemshinda.

Lakini hii kitu ya kuzalisha spirit naifikiriagaaa, naishia kupanga tu kwa sasa
 
Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie.

Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua gharama za chini kabisa, sihitaji legal procedures sana maana nazifahamu nachohitaji ni costs za kufinance project na manufacturing process.
Usioneshe unauliza swali alafu unajifanya mjuaji.
 
Hapa ndo waTanzania tunapokosea, kama wewe unajifanyia marketing kwann usiweke kila kitu hapa mpaka inbox? Tupo wengi tunaofatilia na unaweza kubahatisha mmoja wetu kuliko kujifungia inbox.

Ngoja nikupe mfano wangu; kuna mtu aliuliza kuhusu kuanzisha bakery nadhan mwaka 2014 au 2015 ningemwambia anifate inbox watu wengi wasingejua nini nime-inbox nae, kwakua niliweka kila kitu wazi mpaka leo hii 2020 miaka karibu 5 imepita bado napokea simu za watu mbalimbali wanaotaka ushauri zaidi. Wapo wengi nimewasaidia na wanafanya vizuri na wananishukuru japo hawanijui na wala siwajui.
UKITAKA UTUPATE WENGI FUNGUKA KILA KITU HADHARANI MKUU
Kuna gari imepita hapa imeandikwa


if your good on something never do it for free

Upande wako unatoa ushaur ye anahitaj ujuz wake ulipiwe sio kosa.
 
Kuna gari imepita hapa imeandikwa


if your good on something never do it for free

Upande wako unatoa ushaur ye anahitaj ujuz wake ulipiwe sio kosa.
Kuna wakati nlikuwa nafanya shughuli fulani. Nilikuwa naandika na kutoa ushauri bure. Jambo hili lilifanya watu waniamini aisee nilikuwa napata kazi si kiddogo. Watu waliamini ninajua sana.
 
Kumaanisha kwamba hata kwa mtaji mdogo huwezi anza?

Hao big fish figisu zao ni zipi?

#MaendeleoHayanaChama
Usijali Mimi ni mtaalam wa mashine za kuchuja maji filling na blending za pombe Kali Kwa hiyo usijali nitakupa mashine na kukusaidia kupata vibali vyote contact namba 0673315821.
 

Attachments

  • IMG_20240712_145514_019.jpg
    IMG_20240712_145514_019.jpg
    2.2 MB · Views: 29
  • IMG_20240405_104646_535.jpg
    IMG_20240405_104646_535.jpg
    4.2 MB · Views: 32
  • IMG_20240712_145432_126.jpg
    IMG_20240712_145432_126.jpg
    2.2 MB · Views: 32
  • IMG_20240405_104646_535.jpg
    IMG_20240405_104646_535.jpg
    4.2 MB · Views: 31
  • Screenshot_20240620-113924.jpg
    Screenshot_20240620-113924.jpg
    424.4 KB · Views: 27
Back
Top Bottom