Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Kwanini sasa mkuuHapana mkuu, naomba niseme both of us ( wahusika wa ndoa ) tuko okay financially
Bro huyo ni shetani anakushawishi,mshinde ee endelea na ndoaWakuu, kama heading inavyosomeka, Nina tarajia kufunga ndoa week tatu zijazo ( tar sitaweka ili kuepusha mambo mengi) lakini ni mwezi huu wa nane.
Kimsingi sidaiwi, taratibu zote nimefuata, mahali nimelipa na kilichobaki Ni siku ya tukio tu kuidhinisha Jambo!
Lakini kwa sasa najisikia mzito sana kwenye hili swala, Yan kifup sielewielewi, nahitaji niterminate mchakato huu, ila nikifikiria maandalizi ya sherehe husika kwa maana ya nyumbani, kanisan na jamii yote kwa ujumla najiuliza nijinasuaje ili nitimize adhma yangu!
Naombeni ushauri wenu katika suala hili!
Ingia kwenye maombi, Kuna mtu hapendi uoe fanya haraka SanaMkuu, najiskia mzito, kama Sina aman hivi kadri muda unavyoenda, najiuliza Kuna changamoto gani
Acha Aoe Haraka Muda Uliokubalika Ni Sasa Hivi Ndugu ZanguKumbukuka ni rahisi kuahirisha ndoa kanisani kuliko kuomba kutengua ndoa iliyokwisha fungwa
Funga Ndoa Wewe Acha Kuichelewesha Tanzania MaendeleoDaah! Mkuu, safari yangu ya tareh husika Ni kama ingine inamismis hivi, kwa kwel sielew Kuna Nini!
Mmh kwahio mwanamke huyo kua amekeketwa ndo kukafanya asimuoe?Sikiliza mkuu; Ndugu yangu mwaka 2020 alighaili kuoa, tena ndoa ya kikristo na ulibaki muda mchache km wewe. Alipata lawama kiasi kwamba lawama zingekuwa mfuko angekuwa na matobo kuzidi tenga
Ndugu wa mwanamke wakamfanya adui kuanzia siku hiyo Hadi leo.Hawataki hata kumuona
Sababu ilikuwa hivi;Huyu binti ni mrembo kweli kweli kutoka ugogoni Dodoma.Ana kalio unaweza kuweka kikombe juu kisianguke,mguu ndy balaa,lkn sasa mzee baba alikuwa kila akiomba mzigo hataki kumpa anamwambia anavunja Sheria na yeye ni binti mlokole wasubiri harusi ipite mzigo atapata.jamaa akamjibu siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia Mimi,nataka tupeane mambo kwani shida iko wapi na taratibu za mahali zote nimetimiza bado ndoa Tu
Binti Alipoona jamaa amekuwa mbabe na kumtishia kwamba hawezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia ikabidi siku moja aje kumpa (aliongopa anaenda kuimba kwenye mkesha akaja kwa bro kulala) .
Alichokutana nacho akaishia kuwalaaani wazazi wa Yule binti kuanzia Ile siku maana wamemfanyia kitu cha kijinga na ukatili sn mtoto wao..Wamemkeketa
Akaterminate maswala ya kuoa na ulibaki muda mchache tu harusi kufanyika
Ndo hivyo, ule mlio wa alarm ya kwenye uchumba hulia kwa sauti ndogo lakini ukiingia kwenye ndoa sauti hiyo hiyo inakuwa kubwa isiyovumilikaMi nilipata situation kama hiyo,na nilivyoforce ndoa mwaka 1 Chali....na ndani ya mwaka huo ilikuwa ni uvumilivu tu😥
Yeah, seriousNdo hivyo, ule mlio wa alarm ya kwenye uchumba hulia kwa sauti ndogo lakini ukiingia kwenye ndoa sauti hiyo hiyo inakuwa kubwa isiyovumilika