Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Nataka kughairi kufunga ndoa, zimebaki week 3. Nifanye nini kutimiza azma yangu?

Hapana mkuu, naomba niseme both of us ( wahusika wa ndoa ) tuko okay financially
Duh Kwanini sasa mkuu

Nadhan kuna kitu kinasababisha...
Chaweza kua personally au physically
Ila kipo
Ni vema uki share
 
Shetani yupo kazini kama kuna uliyempa ahadi kisha ukamtosa shauri yako! Nenda kwa Padre/Mchungaji wako atakupa mongozo achana na hizo habari zakuwa mzito, wanawake wengi huwa wanaumwa kabisa.
 
Sikiliza sauti ya ndani. Huo uzito ni ishara tosha, kaa mbali na huo upupu Jombaa.
 
Hii ipo hata kwenye masuala ya ujenzi.ukianza ujenzi wa msingi wa nyumba aje mchungaji kuombea na kuweka kinga au aje mganga kufukia kinga.
Vinginevyo watu wasotea usiku

Wakishaweka mauchawi,basi unashangaa kila ukitaka kwenda sait unakuwa mzito,kisha unapuuza,miaka inakwenda sait hakuna maendeleo, na sio kwamba hela hupati, ni kwamba umepofushwa.

Sasa hapo kwenye kufunga ndoa yako umeshafanyiwa namna. Ili ukwame.. mueleze mchungaji wako au kiongozi wako wa kiroho akusaidie.
Kama nawe ni mlozi wende ukasafishwe kwa mganga.
 
Binafsi sijafunga ndoa kwaiyo sina uzoefu na hali unayokutana nayo ila nahisi inaweza kuwa ile excitement tu anayokua nayo mtu kabla ya tukio kubwa mfano muda mfupi kabla ya kuingia kufanya mtihani wa taifa, siku ya kwanza kufanya mapenzi n.k, kama una uhakika hujakoea kuchagua mke we jikaze funga ndoa mkuu.. mwisho kabisa kama una connection ya kazi yoyote mkuu tupeane shavu mtaani sio poa
 
Wakuu, kama heading inavyosomeka, Nina tarajia kufunga ndoa week tatu zijazo ( tar sitaweka ili kuepusha mambo mengi) lakini ni mwezi huu wa nane.

Kimsingi sidaiwi, taratibu zote nimefuata, mahali nimelipa na kilichobaki Ni siku ya tukio tu kuidhinisha Jambo!

Lakini kwa sasa najisikia mzito sana kwenye hili swala, Yan kifup sielewielewi, nahitaji niterminate mchakato huu, ila nikifikiria maandalizi ya sherehe husika kwa maana ya nyumbani, kanisan na jamii yote kwa ujumla najiuliza nijinasuaje ili nitimize adhma yangu!

Naombeni ushauri wenu katika suala hili!
Bro huyo ni shetani anakushawishi,mshinde ee endelea na ndoa
 
Sikiliza mkuu; Ndugu yangu mwaka 2020 alighaili kuoa, tena ndoa ya kikristo na ulibaki muda mchache km wewe. Alipata lawama kiasi kwamba lawama zingekuwa mfuko angekuwa na matobo kuzidi tenga

Ndugu wa mwanamke wakamfanya adui kuanzia siku hiyo Hadi leo.Hawataki hata kumuona

Sababu ilikuwa hivi;Huyu binti ni mrembo kweli kweli kutoka ugogoni Dodoma.Ana kalio unaweza kuweka kikombe juu kisianguke,mguu ndy balaa,lkn sasa mzee baba alikuwa kila akiomba mzigo hataki kumpa anamwambia anavunja Sheria na yeye ni binti mlokole wasubiri harusi ipite mzigo atapata.jamaa akamjibu siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia Mimi,nataka tupeane mambo kwani shida iko wapi na taratibu za mahali zote nimetimiza bado ndoa Tu

Binti Alipoona jamaa amekuwa mbabe na kumtishia kwamba hawezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia ikabidi siku moja aje kumpa (aliongopa anaenda kuimba kwenye mkesha akaja kwa bro kulala) .
Alichokutana nacho akaishia kuwalaaani wazazi wa Yule binti kuanzia Ile siku maana wamemfanyia kitu cha kijinga na ukatili sn mtoto wao..Wamemkeketa

Akaterminate maswala ya kuoa na ulibaki muda mchache tu harusi kufanyika
Mmh kwahio mwanamke huyo kua amekeketwa ndo kukafanya asimuoe?
 
Mi nilipata situation kama hiyo,na nilivyoforce ndoa mwaka 1 Chali....na ndani ya mwaka huo ilikuwa ni uvumilivu tu😥
Ndo hivyo, ule mlio wa alarm ya kwenye uchumba hulia kwa sauti ndogo lakini ukiingia kwenye ndoa sauti hiyo hiyo inakuwa kubwa isiyovumilika
 
Jitahidi uishinde hio hali siku uje na mrejesho umetoka honeymoon na una enjoy maisha ya ndoa.
 
Unataka kuoa singo maza unategemea nini imekula kwako mjuba
 
Kama Tatizo halipo kwa upande wa Bibi harusi Hilo wazo lako lifute Mara moja.

Pengine ni kauoga tu maana inawezekana ni wale watu waoga wa umati.

Jitie ujasiri na hakika utajipongeza shughuli ikishaisha.

NB:Hii ni kama bado unaona Bibi harusi ni chaguo sahihi kwako
 
Back
Top Bottom