Unaulizia account ipi sasa? Ya overseas ama local? Ya madafu ama forex? Hehehe nimesema all the best mkuu, si ni life? Wacha makasiriko!Wewe unayependa njia ndefu uko wapi..una kampun ngap afrika na dunia kwa ujumla ,, akaunti yako ina bilioni ngapi..
Forex ni utapeli.Lete milioni moja nikupe faida forex kila siku acha hayo mawazo
Nmekupa maelekez umefata ningekupa number Ila kama uko serious utafikaForex ni utapeli.
Ok.Nmekupa maelekez umefata ningekupa number Ila kama uko serious utafika
[emoji120]Uko mkoa gani kamanda?? Najua utakuwa na mengi Sana yaliyokupelekea kufikia kuwaza mambo hayo,na najua ushajaribu njia nyingi za halali na imeshindikana....kama uko serious,nenda tunduma,chunya,sumbawanga vijijini na Tabora... nahisi unaweza kufanikiwa ila uwe jasiri sana maana njia sio rahisi kama unavoweza kuwaza
Jamaa huko aliko yuko anapikwa soon atarejea hapa na utajiriView attachment 3169184
Oya! 😲 Hizi ndo zile wanasemaga chuchu konzi au 🤔Jamaa huko aliko yuko anapikwa soon atarejea hapa na utajiriView attachment 3169184
Nyinyi msiongia mafukara ndio hamfi?INGIA UFE
😂😂Nyinyi msiongia mafukara ndio hamfi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyinyi msiongia mafukara ndio hamfi?
Kaza moyo usije liaNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
KwaniniKaza moyo usije lia