Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Wewe unayependa njia ndefu uko wapi..una kampun ngap afrika na dunia kwa ujumla ,, akaunti yako ina bilioni ngapi..
Unaulizia account ipi sasa? Ya overseas ama local? Ya madafu ama forex? Hehehe nimesema all the best mkuu, si ni life? Wacha makasiriko!
 
Lete milioni moja nikupe faida forex kila siku acha hayo mawazo
 
Uko mkoa gani kamanda?? Najua utakuwa na mengi Sana yaliyokupelekea kufikia kuwaza mambo hayo,na najua ushajaribu njia nyingi za halali na imeshindikana....kama uko serious,nenda tunduma,chunya,sumbawanga vijijini na Tabora... nahisi unaweza kufanikiwa ila uwe jasiri sana maana njia sio rahisi kama unavoweza kuwaza
 
[emoji120]
 
Unataka utajiri wa ghafla kama wa chiefgodlove ama chino ?
 
Kaza moyo usije lia
 
I want to sell my soul for riches wealth and fame...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…