Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Go at your own risk!Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go at your own risk!Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu mna hasira....Fungua pm watu tuje
Wew lete code tukahangaike nazo sisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu mna hasira....
Sawa. Ofkoz ni risk yangu. Siitaj huruma yako.Go at your own risk!
Kijambio nasikia mali yao, wanakishughulikia muda wowote mpaka useme. Hapo ndo kugumu mkuuSawa. Ofkoz ni risk yangu. Siitaj huruma.
Nakuja PMSasa mrembo mbona hujanipa sasa konektn..
Hivi kwa mfano ukiambiwa matoto yako yatakuwa mazombie utafaidika na nini na huo utajiri?Sawa. Ofkoz ni risk yangu. Siitaj huruma.
Njoo na yangu 🥱Nakuja PM
Watoto wakiwa na akili timamu mm watanisaidia nn na hali wanaiona? Walimbiwa wanitoe mm nikakataa? Kwa nn wao wakatae?Hivi kwa mfano ukiambiwa matoto yako yatakuwa mazombie utafaidika na nini na huo utajiri?
Usilisemee linaweza kuona ni sawa tu almradi litajirike!Kijambio nasikia mali yao, wanakishughulikia muda wowote mpaka useme. Hapo ndo kugumu mkuu
Ila baby wangu una nini lakini?Njoo na yangu 🥱
We hutaki tuwe matajiri?Ila baby wangu una nini lakini?
NatakaWe hutaki tuwe matajiri?
Lete codes inbox tuone tunatoboaje kwanza. Mana habari za kutia tia huruma maisha hays sio kabisaNataka
Kumahkibuyu.Usilisemee linaweza kuona ni sawa tu almradi litajirike!
Ukitaka kumsujudia shetani ili uwe tajiri anza mazoezi ya kuliwa ndogo huko huko ulipoNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kama wewe ulivyoliwa?Ukitaka kumsujudia shetani ili uwe tajiri anza mazoezi ya kuliwa ndogo huko huko ulipo
Uko darKama wewe ulivyoliwa?
Kinapatikana wapi mkuu?Kuna kitabu kinaitwa Ars Goetia, kina orodha ya mapepo 72 ambayo mfalme solomon aliyafunga
Kinaelezea jinsi ya kuwaita, wapo ambao wanaleta utajiri
Kakisome.
Uje ulete mrejesho kama utapata hata mia😆