Mkuu car wash inalipa na kwa hiyo hela inatosha sana.chukua mashine ya kuoshea magari,bei zake ni 700k-900k japo zipo na kubwa zake.ila kwakuanzia unaweza kuanza na hizo .hapo chukua na tank la lita1000 nazani ni laki3 ,nunua na spray na zaga zaga za urembo wa magari kusha tulia...
Mimi wakati nafukuzia ajira nilifungua car wash kwakweli sikujuta,kwa siku sikuwahi kurud na pesa chini ya 40000 hapo mafuta na maji nishalipia vyote.hiyo ni kibaha tu mzee je dar au dom ....jaribu hiyo mzee
Biashara ya viatu imekaa vizuri nitafte nikupe mchakato wake
Unaweza ukawa mtendaji pia nakushauri ingia YouTube angalia migahawa inaendeshwaji kwa mtaji mdogo
AmeenKwa kuwa namba 5 umewahi kuifanya maana yake una udhoefu,basi kaifanye kwa nguvu zako na akili zako zote.
Naye aketie mahali pa juu Mbinguni awe pamoja nawe,na watu wote waseme Ameen.
So kwa 1.5M unaweza fanya carwash safi.Mkuu car wash inalipa na kwa hiyo hela inatosha sana.chukua mashine ya kuoshea magari,bei zake ni 700k-900k japo zipo na kubwa zake.ila kwakuanzia unaweza kuanza na hizo .hapo chukua na tank la lita1000 nazani ni laki3 ,nunua na spray na zaga zaga za urembo wa magari kusha tulia...
Mimi wakati nafukuzia ajira nilifungua car wash kwakweli sikujuta,kwa siku sikuwahi kurud na pesa chini ya 40000 hapo mafuta na maji nishalipia vyote.hiyo ni kibaha tu mzee je dar au dom ....jaribu hiyo mzee
Una mawazo kama yangu, ungekuwa DSM ningekutumia vimaelezo vya Carwash nayoifikilia ila upombali.
Niko interested na hii idea, nilikuwa nadhani kuwa hii inahitaji mtaji mkubwa sana. Information is powerBado tunaweza kushare idea mkuu, kwenye hii information era we need all the information we can get.
Niko interested na hii idea, nilikuwa nadhani kuwa hii inahitaji mtaji mkubwa sana. Information is power
Unajua mkuu...!!biashara kuitaja na kuitekeleza n tofauti...!!biashara co vitu au bidhaa...biashara n muuzaji....kwanza jiandae wew.....!!andaa plan...piga cost n faida....hapa nazungumzia biashara yenye uhakika wa kupata pesa kila cku....co ya kubahatisha
Ukishaona wew kama wew upo tyr kuhudumia wateja katika mazingira ya kuridhsha
Basi kila biashara itakuendea vizuri
Naweka swala langu hapa nikiamini sijakosea.
Shida yangu kubwa ni namna yakuifanya 2.0Mil ianzishe na kusustain biashara.
Shortly; mimi ni kijana nipo dodoma, nilikua nafanya kazi sehemu flani mkoa jirani, nikapata post ya serikalini, sikuipenda ila wanaonizunguka hasa familia haikutazama kama nilivyotazama mimi (Najua inafahamika namna gani watu wanatamani kuajiriwa serikalini). Ndoto zangu sio kuajiriwa milele hivyo kwangu haikua golden chance kama walivyoiona wao.
Kiufupi walifanya nikaacha kazi niliyofanya(private) kwaajili ya hiyo post ya serikali ambayo hivi ninavyoandika imeshashindikana (sioni haja yakufafanua hapo)
Kikubwa ni kua baada ya gharama zote zakusatle kwenye kazi mpya iliyoharibika nimejikuta nimebaki na milioni mbili tuu, na sijisikii tena kuomba ajira kwa mtu yeyote maana hata kilicho fanya hiyo kazi mpya kuharibika ni pale mkuu mmoja wa idara alipotaka nimuabudu na kumnyenyekea kupita kiasi ( msiniquote vibaya, mimi niko humble sana tuu, ila kila kitu kina kiasi)
Sasa nataka kufanya biashara simple inayofit kwenye hiyo capital yangu. Nahitaji msaada wa idea inayotekelezeka maana all my life will depend on that.
Pia wacha kukulil Biashara make huu ndo Ugonjwa wetu sisi.
Pia wacha kukulil Biashara make huu ndo Ugonjwa wetu sisi.
Changamoto ya hii biashara ni kupata eneo zuri litakalowezesha hii biasharaSo kwa 1.5M unaweza fanya carwash safi.
Changamoto ya hii biashara ni kupata eneo zuri litakalowezesha hii biashara
Kama umefanikisha kupata eneo lenye maji,umeme....anza biashara mkuu,na kwa pembeni weka 'bites'Sure.
Yani kwa sasa kila ninapopita napaasses kama panafaa, nimejikuta nikiangaza macho mji mzima mpaka watu wananishangaa.
Ila mpaka sasa nina spot tatu za msingi, one of 'em has to be it.
Nashukuru kwa mchango wako mkuu.
Ila ingefaa kama ungejikita kwenye kutoa wazo virgin, ukizingayia nimebainisha kua hayo mawazo yangu yasiwe limitation. Sijasema niko bounded kwenye hayo mawazo hapo. Nimesema hayo ni baadhi ya mawazo niliyonayo, nikakaribisha mawazo mengine.
Nadhani ni busara kujibu sambamba na mada, kuliko kutafuta kasoro ambayo pengine haipo.
Asante kwa mara nyingine?