Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya

Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya

Asante chief kunipa nguvu. Ninapata nguvu zakupita na car wash.
Mkuu car wash inalipa na kwa hiyo hela inatosha sana.chukua mashine ya kuoshea magari,bei zake ni 700k-900k japo zipo na kubwa zake.ila kwakuanzia unaweza kuanza na hizo .hapo chukua na tank la lita1000 nazani ni laki3 ,nunua na spray na zaga zaga za urembo wa magari kusha tulia...

Mimi wakati nafukuzia ajira nilifungua car wash kwakweli sikujuta,kwa siku sikuwahi kurud na pesa chini ya 40000 hapo mafuta na maji nishalipia vyote.hiyo ni kibaha tu mzee je dar au dom ....jaribu hiyo mzee
 
Una mawazo kama yangu, ungekuwa DSM ningekutumia vimaelezo vya Carwash nayoifikilia ila upombali.
 
Mkuu car wash inalipa na kwa hiyo hela inatosha sana.chukua mashine ya kuoshea magari,bei zake ni 700k-900k japo zipo na kubwa zake.ila kwakuanzia unaweza kuanza na hizo .hapo chukua na tank la lita1000 nazani ni laki3 ,nunua na spray na zaga zaga za urembo wa magari kusha tulia...

Mimi wakati nafukuzia ajira nilifungua car wash kwakweli sikujuta,kwa siku sikuwahi kurud na pesa chini ya 40000 hapo mafuta na maji nishalipia vyote.hiyo ni kibaha tu mzee je dar au dom ....jaribu hiyo mzee
So kwa 1.5M unaweza fanya carwash safi.
 
Unajua mkuu...!!biashara kuitaja na kuitekeleza n tofauti...!!biashara co vitu au bidhaa...biashara n muuzaji....kwanza jiandae wew.....!!andaa plan...piga cost n faida....hapa nazungumzia biashara yenye uhakika wa kupata pesa kila cku....co ya kubahatisha

Ukishaona wew kama wew upo tyr kuhudumia wateja katika mazingira ya kuridhsha

Basi kila biashara itakuendea vizuri
 
Nashukuru mkuu
Unajua mkuu...!!biashara kuitaja na kuitekeleza n tofauti...!!biashara co vitu au bidhaa...biashara n muuzaji....kwanza jiandae wew.....!!andaa plan...piga cost n faida....hapa nazungumzia biashara yenye uhakika wa kupata pesa kila cku....co ya kubahatisha

Ukishaona wew kama wew upo tyr kuhudumia wateja katika mazingira ya kuridhsha

Basi kila biashara itakuendea vizuri
 
Money is i reward. Kupata pesa ni matokeo ya wewe kutatua changamoto.

So kama kuna mtu utamtatulia changamoto zake basi pesa unayo.

Yaani ili upate pesa lazima uwe umesolve changamoto yoyote ile iwe ni ya mtu kushiba au kulala au kulia au kucheka vyovyote vile.

Mwisho

Kwa sasa tulipo fikia biasbara inahitaji akili mno kuliko nguvu. Yaani ubunifu uwe ni 80% ya boashara nzima.

Sasa je wewe unajinadaa kutatua changamoto zipi hapo Dodoma? Unaona mwanta gani hapo Dodoma? Kuna nini unakiona hapo?

Hayo ndo ya muhimu sana
Naweka swala langu hapa nikiamini sijakosea.

Shida yangu kubwa ni namna yakuifanya 2.0Mil ianzishe na kusustain biashara.

Shortly; mimi ni kijana nipo dodoma, nilikua nafanya kazi sehemu flani mkoa jirani, nikapata post ya serikalini, sikuipenda ila wanaonizunguka hasa familia haikutazama kama nilivyotazama mimi (Najua inafahamika namna gani watu wanatamani kuajiriwa serikalini). Ndoto zangu sio kuajiriwa milele hivyo kwangu haikua golden chance kama walivyoiona wao.

Kiufupi walifanya nikaacha kazi niliyofanya(private) kwaajili ya hiyo post ya serikali ambayo hivi ninavyoandika imeshashindikana (sioni haja yakufafanua hapo)

Kikubwa ni kua baada ya gharama zote zakusatle kwenye kazi mpya iliyoharibika nimejikuta nimebaki na milioni mbili tuu, na sijisikii tena kuomba ajira kwa mtu yeyote maana hata kilicho fanya hiyo kazi mpya kuharibika ni pale mkuu mmoja wa idara alipotaka nimuabudu na kumnyenyekea kupita kiasi ( msiniquote vibaya, mimi niko humble sana tuu, ila kila kitu kina kiasi)

Sasa nataka kufanya biashara simple inayofit kwenye hiyo capital yangu. Nahitaji msaada wa idea inayotekelezeka maana all my life will depend on that.
 
Nashukuru kwa mchango wako mkuu.
Ila ingefaa kama ungejikita kwenye kutoa wazo virgin, ukizingayia nimebainisha kua hayo mawazo yangu yasiwe limitation. Sijasema niko bounded kwenye hayo mawazo hapo. Nimesema hayo ni baadhi ya mawazo niliyonayo, nikakaribisha mawazo mengine.

Nadhani ni busara kujibu sambamba na mada, kuliko kutafuta kasoro ambayo pengine haipo.

Asante kwa mara nyingine?
Pia wacha kukulil Biashara make huu ndo Ugonjwa wetu sisi.
 
Sure.
Yani kwa sasa kila ninapopita napaasses kama panafaa, nimejikuta nikiangaza macho mji mzima mpaka watu wananishangaa.

Ila mpaka sasa nina spot tatu za msingi, one of 'em has to be it.
Changamoto ya hii biashara ni kupata eneo zuri litakalowezesha hii biashara
 
Sure.
Yani kwa sasa kila ninapopita napaasses kama panafaa, nimejikuta nikiangaza macho mji mzima mpaka watu wananishangaa.

Ila mpaka sasa nina spot tatu za msingi, one of 'em has to be it.
Kama umefanikisha kupata eneo lenye maji,umeme....anza biashara mkuu,na kwa pembeni weka 'bites'
 
Nashukuru kwa mchango wako mkuu.
Ila ingefaa kama ungejikita kwenye kutoa wazo virgin, ukizingayia nimebainisha kua hayo mawazo yangu yasiwe limitation. Sijasema niko bounded kwenye hayo mawazo hapo. Nimesema hayo ni baadhi ya mawazo niliyonayo, nikakaribisha mawazo mengine.

Nadhani ni busara kujibu sambamba na mada, kuliko kutafuta kasoro ambayo pengine haipo.

Asante kwa mara nyingine?

Hahaa nimejaribu kukuelezea mazingira halisi sasa subiria uelezwe vile unavyo vipenda kuvisikia ndo shida zetu sisi.

Unataka tu kusikia yale unayo yapenda masikioni?

Biashara ni zaidi ya wazo mkuu sijui kama hilo unalijua.

Nazani unaamini ukisha pata wazo zuri basi umetoka hata kama una huo mtaji.

Unaweza pata Virgin Idea na still ikawa ngumu sana.

Maelezo yangu hutayaelewa na hayatkufurahisha make siko hapa kufurahisha ila nimejaribu kukupa picha kamili ukitilia maana situatuon za sasa hivi.
 
Back
Top Bottom