falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
round hii sichekiKama sio uchokonozi sijui!
Subiri wanakuja mkuu.
Kwa nini isikufae unaset order za ku buy na ku sell ukielewa lknbaada ya kutafakari kwa muda nimeamua kufanya maamuzi ya kutaka kujiunga forex
wakuu ni vitu gani napaswa kuandaa na kulipia hadi niwe mwanachama
Pia je itamfaa mtu anaesafiri mara kwa mara?
nawapatajeWatafute TmT the matapeli team
Wakueke vizur ubongo huo naona umejaa mavi.
Eapenda Slope
mwanaume haliiMtafute Ontario na team yake ya TMT watakupa mwongozo wa jinsi gani unaweza fanya ili kufanikisha dhumuni lako.
NB: Sio baada ya mda unakuja kulia lia humu.!
hutaki nijiungeIla wakuu hz mambo za fx zinatosha sasa tuziache
We kibaraka wa ugamban upooomimi nasafiri kila siku na natrade bila wasiwasi ukiwa na smartphone inatosha
hahaha kwanini mkuuMod embu chunguzeni kuna watu wanatumia ID zaidi ya 5
Aya kila lakherimwanaume halii
mamboUkilizwa uje pia
niko makiniUkiliwa mtaji wako wa hiriki usije kutoa povu humu