Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja kabla ya kupata ushemashi ikajulikana, jamaa alitimuliwa bila huruma na Sasa Yuko mtaani bosi kampuni fulani ya serikali na Ana watoto Tisa sasa na maisha yanaendelea
Wanajuaje?
 
Mkuu ushakula mbususu hadi ukapata mtoto ndio unataka kua padre? Mbususu za masista zitakua salama kweli?
Hivi Kanisa linaangalia uwezekano wa Kulitumikia kuliko kukutoa inje.
 
Huo ni utume, watumwa wa utume huo wanao wito... Swali la kwanza je, wewe una wito huo au unataka?

Wito huu unahakikiwa kuanzia seminary ndogo mpaka juu huko, sio rahisi kuchukua "hoehae/mangumbalu" toka mtaani.. Je, wewe umewahi kupita kwenye malezi ya kitume?

Unataka (kadiri ya maandishi yako) kujiunga upadre, je washirika/jimbo?

Haloo, sikukatishi tamaa, lakini una asilimia 0.98% za kuupata.

Mimi sijui lolote, nimelopoka tu.
Mwamba anachekesha sana, yaani kaishapata na kid lakini bado anadhani anaweza kuwa Padre
 
Hamna Mkuu, kwani mafunzo yanatolewa bure bila gharama?
Katika level ya elimu ya sekondari ndipo wanapolipa Ada.
Baada ya hapo ni free life utapewa sehemu ya kukaa bure, Msosi bure , kusomeshwa philosophy na baadae theology na kapesa kadogo cha kujikimu.
Ukikaa kaa nao Sana ukafika level ya ushemasi ukiwazingua wanakufukuza.
Hakuna pension huko ukifukuzwa wanakupa kitanda, godoro ,gunia la mahindi na maharage ukaendelee na maisha kitaa
 
Back
Top Bottom