Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako Mkuu. Kanisani hakuna ajira mzee, kama shida yangu ni ajira gharama zitazotumika kwanini nisifanye mtaji wa kujiari mwenyewe? Badala ya kuwenda masomoni karibia miaka 14.Wewe unatafuta ajira si utumishi wa Mungu.
Umesahau na kiboshoMwaka mmoja wa malezi sijauona apoa,wazee wa kipalapala ntungamo,na segerea
Usije kuwa umeutamani kisa baba paroko anaendesha ndinga Kali na anaishi kwenye bangalow upadri siyo ajira ni utume na unatakiwa kuacha yote ya Dunia kama hujakulia kwenye mazingira ya useminari hautauweza umeshaonja Raha za Dunia vya kutosha ukimuona mtu kavaa Ile kanzu anaongoza misa usimchukulie poaHabari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea na masomo ya Upadre?
3. Je, kama nilikuwa na mahausiano ambayo sikufunga Ndoa Kanisani, baadae mahusiano yakafa na tumeshapata Mtoto inakuaje?
Nakuombeni ufafanuzi wa kina wandugu.
Walimjuaje?Umenikumbusha kuna kaka wa rafiki yangu alikuwa Mwalimu pale Green acres, amekula vitoto vya shule hadi kachoka then akawa anataka kusoma master's nje ya Tz, wakatiana 30+ eti akaenda ili awe padre, akaenda Morogoro then Dodoma kwaajili ya recruitment.......akafail huko na kurudishwa.....now ana mke na watoto
Nani kakwambia watu hutubu dhambi na kuacha kabisa? Wanapewa makanisa na matokeo yake wanakula kondoo wao. Na wengine hujianzishia makanisa yao wenyewe. Unakuta yeye ndi mchungaji, askofu na wakati mwingime hujiita nabii. Mahubiri yao ni umbea tu kanisani. Mf. Huyu mwanasiasa, unasema aliacha dhambi huyu?Kifupi makanisa mengine hutafuta mtu aliyetenda dhambi sana akaokoka akatubu zile dhambi nyingi na kuziacha ndio humpa uchungaji nk lakini kanisa Katoliki hutafuta mtu asiye na mawaa kwenye maisha kuanzia family history nk ndio maana vetting yao huwa kali hasa na huchukua miaka Mingi hadi kufikia kumpa upadri
Nilipomuuliza aligoma kuniambia ila kuna mitego wanapewa, sasa yule bro alikuwa mtu wa totozi sana,kwa rangi yake hadi wadada walikuwa wanamtongozaWalimjuaje?
Kweli mkuu,nimesahau kibosho ,unatoka na uflateriUmesahau na kibosho
Asante kwa kunitanabahisha Mkuu.Kwa hapa Tanzania Theology ni four years mkuu.
AaaaNilipomuuliza aligoma kuniambia ila kuna mitego wanapewa, sasa yule bro alikuwa mtu wa totozi sana,kwa rangi yake hadi wadada walikuwa wanamtongoza
Kumbe siyo lazima nipitie seminary ambazo ni kwa ajili ya kuwaanda vijana kuwa mapdre wa kanisa Katoliki? Nimepata mwanga sasa.Mkuu; Kama uko serious fanya /uwe umetimiza au utimize mojawapo ya yafuatayo:
1. Uwe umesoma na kufaulu masomo ya Form six - (any combination) shule sio lazima Seminari. Omba kupitia Baba Paroko wako i.e Nenda kazungumze naye na umweleze nia yako hiyo na Uwe umeshafanya maamuzi ya dhati kwamba unapenda kuwa Padre wa Jimbo au wa Shirika na nini/kitu gani kinakusukuma ufanye hivyo.
au
2.Umesoma huko ulikosoma F6 hadi ukapata cheti kwa ufaulu mzuri ( Diploma au Digrii) na hata kama umeajiriwa, wasiliana na Paroko wako i.e. Omba kupitia Baba Paroko wako kama ilivyoelekezwa hapo juu Na. 1 utapewa maelekezo e.g. unaweza kuelekezwa kujiunga kwenye Nyumba ya Malezi 1yr n.k. and then Philosophy 3yrs then Theology 2yrs. (Hii ni kwa Mapadre wote - wa-Jimbo au wa-Shirika)
#3.Hatua hii ni MUHIMU sana na ndipo wengi hujikwaa. Uwe na TABIA NJEMA na Mtu wa Sala/Mcha Mungu, Hujaoa na ni Rijali. (Ss kwa mfano ww umeshazaa huko mtaani na unataka umwache mzazi mwenzio akihangaika na mtoto wako, hiyo mmmh!. cjui kama ni tabia njema (any way Watakusikiliza tu - ww jenga Hoja bro).
NB: Ili uwe Padre wa Kanisa Katoliki sikutanii wala kukutisha - shughuli yake ni pevu bro.
AyaHamna kitu kama hicho, tatizo la ajira ni kwa jamii yote achilia mbali imani zao.
Hana hata hiyo 0Huo ni utume, watumwa wa utume huo wanao wito... Swali la kwanza je, wewe una wito huo au unataka?
Wito huu unahakikiwa kuanzia seminary ndogo mpaka juu huko, sio rahisi kuchukua "hoehae/mangumbalu" toka mtaani.. Je, wewe umewahi kupita kwenye malezi ya kitume?
Unataka (kadiri ya maandishi yako) kujiunga upadre, je washirika/jimbo?
Haloo, sikukatishi tamaa, lakini una asilimia 0.98% za kuupata.
Mimi sijui lolote, nimelopoka tu.
Ukiuliza swali la tatu, utakuwa umeukosa automatically.Kumbuka Wana filosofia ya juu sana usizani unaenda kuongea na watu wa kawaida.Wale jamaa ni kama CIAHabari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea na masomo ya Upadre?
3. Je, kama nilikuwa na mahausiano ambayo sikufunga Ndoa Kanisani, baadae mahusiano yakafa na tumeshapata Mtoto inakuaje?
Nakuombeni ufafanuzi wa kina wandugu.
huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja kabla ya kupata ushemashi ikajulikana, jamaa alitimuliwa bila huruma na Sasa Yuko mtaani bosi kampuni fulani ya serikali na Ana watoto Tisa sasa na maisha yanaendeleaHuingii bila vetting. upadre sio tu kulipa ada
Mzee ata mm rafiki hivyo hivyo na wiki moja kabla wewe ilikuwa mkoa gan?huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja kabla ya kupata ushemashi ikajulikana, jamaa alitimuliwa bila huruma na Sasa Yuko mtaani bosi kampuni fulani ya serikali na Ana watoto Tisa sasa na maisha yanaendelea