Wanajuaje?huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja kabla ya kupata ushemashi ikajulikana, jamaa alitimuliwa bila huruma na Sasa Yuko mtaani bosi kampuni fulani ya serikali na Ana watoto Tisa sasa na maisha yanaendelea
HahahahaMkuu ushakula mbususu hadi ukapata mtoto ndio unataka kua padre? Mbususu za masista zitakua salama kweli?
Mwamba anachekesha sana, yaani kaishapata na kid lakini bado anadhani anaweza kuwa PadreHuo ni utume, watumwa wa utume huo wanao wito... Swali la kwanza je, wewe una wito huo au unataka?
Wito huu unahakikiwa kuanzia seminary ndogo mpaka juu huko, sio rahisi kuchukua "hoehae/mangumbalu" toka mtaani.. Je, wewe umewahi kupita kwenye malezi ya kitume?
Unataka (kadiri ya maandishi yako) kujiunga upadre, je washirika/jimbo?
Haloo, sikukatishi tamaa, lakini una asilimia 0.98% za kuupata.
Mimi sijui lolote, nimelopoka tu.
Katika level ya elimu ya sekondari ndipo wanapolipa Ada.Hamna Mkuu, kwani mafunzo yanatolewa bure bila gharama?
Umenichekesha sana mdau, lakini kumbuka hakuna anayependa kuwa jobless.Sasa hivi ajira mtaaani hakuna watu wanawinda upadri zamani ulikuwa unakimbiwa Sasa hivi ma jobless yanataka upadri