Nataka kujua kingereza ni njia gani nzuri?

Nataka kujua kingereza ni njia gani nzuri?

Mbona wachina hawalii?
Wahindi je?
Wajapan?
Wakorea?
Warussi?

Jivunie cha kwako utasema labda hizo nlizotaja zina maendeleo ila hata wao hawajikuta wako hapo ila walipambana na walijali vya kwao.
Wabongo kwa kujitutumua,acha upimbi bas

Mpaka sasa sifa kubwa ya kupata job nzur hapa bongo ni lazima ujue ngeli vzur afu unaleta ushubwada hapa
 
Kuna ng'ombe watoa maoni bado wana shadadia ukolon. Watu kibao wanajua kuongea kingereza lakini hawaongei popote.
Kama sio content developer TZ hakuna matumizi na maa a yoyote ya kutumia kkingereza hasa speaking skill.
Wachina wengi wanaongea kingereza vizuri kuliko hata waliosoma english medium au wakenya.
Hii ina maanisha kingereza unaweza jua tu hata bila kulazimisha mtaala wote uwe wa kingereza. Miaka 4 ya sekondari humudu kingereza, ujue huna akil. Akili za kuunga unga halafu unatukana watu.
Dunia ya leo sio lazima vitu ujufunze mashuleni ila MABOGUS hayajui chochote kazi kulaumu wengine.
Na watu wengi wanaolumu lamu huwa ni watu walioshindwa.
 
Mtoa mada usihaingaike na mwalimu utapoteza mda.Walimu wamejaa tiktok,youtube,google play,google nk.
Tafuta content zinazokufaa anza kujifunza.
Kama unapenda american english tafuta wamarekani, kama pigin english,au english za kiafrika wapo mtandaoni.
Ukitafuta mwalimu utarudi kule ulikoshindwa std7.
Ulishindwa kuelewa kwa sababu njia zilizotumika sio sahihi kwako. So, zingatia mahitaji yako wewe sasa ni mkubwa sio suala la kufuata mfumo bali unda mfumo wako. Mwalimu akiwepo basi awe ziada tu.
Kwa uzoefu wangu inTZ walimu wachache sana wana skill za kufundisha kingereza na lugha nyingine.
Ikiwezekana Tafuta muhindi au mchina mji uliopo waswahili watakukaalilisha misamiati na tense, hawako competrnt kabisa.
Niliwahi soma kozi ya kichina, hao watu they know how to teach the language sio kama sisi. Kwa umri wowote unaweza kuelewa lugha.
 
Kwa kuanza, fuata utaratibu huu.
Kuna kunifunza kambo kutoka
1.simple to vomplexKuanza na vitu rahisi kisha vigumu
2. Complex to simple( vigumu kidha rahisi).
Mtasla wa tanzania ume hagua rahisi misha vigumu.
Kwa utafiti wangu njia nzuri ni vomplex kwenda simple.
.Usizingatie muundo wa sentensi. Zingatia maana ya sentensi.
Hepa jikite kwenye everyday phrases.
Lugha inatafsiri au inabeba mambo ya msingi yafuatayo.
1. Matendo.
2. Majina
3. Sifa.
Kwa hio tafuta sentense zinazoeleza matendo wanayofanya watu ktk maisha ya kila siku.
Sizikilize, ziimbe,angalia animation zake, tafuta maana zake,zibadirishe
Walau kila siku sentense 20 zinatosha.
Ntakupa mifano halisi, pdf na link za you tube video.
Nandelea chini.
 
Naendelea.
Nakusisitiza kuwa njia nzuri sio kujifunza sayansi ya lugha bali matu.mzi ya lugha. Wanyama wote wanajifunza lugha kwa kueleza matendo wanayofanya kwa sauti.
Mifano ya sentensi unazotakiwa uzijue.
Matendo ya kila siku
Kila siku ninakula chakula
Muda huuu ninakula chakula,
Kila asubuhi ninakunywa chai
Kila mchana ninakula ugali
Kila jioni ninakula wali.
Hapa kuna majina ya chakula na tendo kula.
Unaweza kuendeleza orodha kwa watu tofauti,
Mfano
Msichana anakula chakula/wali
Mvulana anakula chakula/ugali
Mtoto anakula chakula..
Baba anakula chakula..
Mama anakula chakula...
............anakunywa.....uji
................anak7nywa......chai
... jwisi
Nk
Sentensi hizi uziimbe sasa kwa kingereza
Ukizingatia tendo la kila siku kula
majina ya chakula.
Kwa mpa gilio mzuri na commitment ya kutosha. Bada ya wiki mbili utaweza kutamka sentense za maisha ya kila siku bila kujua structure of a tense(njia ya kale).
Kichina ndivyo wanavyofundisha hawaendi kwenye structure labda mbele sana.
Huu ni mfano sio njia yote.
Kumbuka AI inaweza kukupa matokeo yoyote unayotaka na kwa mtindo wowote ule.
 
Humu hakuna aliyejifunza kiingereza yeye mwenyewe ili aeleze njia alizopita?
 
pakua programu ya duoligo ujifuze vianzio vya lugha(matamshi na maandishi) - ni bure

kiachobaki ni wewe kufanya mazoezi mengi

njia kuu ya kujifunza lugha ni kujiingiza kwenye lugha(immersion) hakikisha unaitumia kila siku. soma vitabu vya kiingereza, filamu na maudhui ya mtandaoni unayotumia - kiingereza. taarifa habari - kiingereza. tafuta mtu wa kuongea naye kiingereza mara kwa mara.
 
pakua programu ya duoligo ujifuze vianzio vya lugha(matamshi na maandishi) - ni bure

kiachobaki ni wewe kufanya mazoezi mengi

njia kuu ya kujifunza lugha ni kujiingiza kwenye lugha(immersion) hakikisha unaitumia kila siku. soma vitabu vya kiingereza, filamu na maudhui ya mtandaoni unayotumia - kiingereza. taarifa habari - kiingereza. tafuta mtu wa kuongea naye kiingereza mara kwa mara.
Asante mkuu
Screenshot_20250121-164041.png
 
Muulize diamond japo asilimia 90 ya English yake ni comedy tupu ila anajiamini na nonsense zake
 
Back
Top Bottom