Nataka kujua mawili matatu kuhusu biashara ya nafaka mpakani sirali (mpaka wa mara na kenya)

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Habari za muda huu wakuu,

Swali kutoka kwa mwanetu yeye ana Account JF

"Naomba kuuliza bei ya sasa ya maindi, maharagwe na mchele mpaka ni sirari"

Mwisho wa nukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…