Nataka kukopa Shilingi milioni 5 nianze biashara

Mkuu,
akizingatia huu ushauri atakuja kukushukuru some time to come,

Ila tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana.
Tatizo vijana wengi wanaamini wanaweza kutoboa kwa kutegemea Mshahara wa Mkewe.

Ila kiuhalisia,
kuipigia hesabu ya Mshahara wa mke msomi ni kujitafutia Kiharusi,presha na mkanda wa JESHI.
 
Kias kwa sababu nilikuwa na mkopo mwingine ambao umeisha, niliwekeza kwenye kilimo na kununua mazao ila sasa mtaji nimeupeleka kwenye ujenz, nataka nikope tena
 
Nataman kuwa na mke ambae sio mtumish, mungu akijalia ntapata awe ananisadia kwenye shughuli zang hizo coz bado sijaoa
 
Nashukuru kwa ushauri kiongoz
 
Well detailed advice, nimeipenda kaka nitaifanyia kaz depply
 
Nashukuruni sana kwa ushaur, na ntawapa mrejesho wa maamuzi ntakayo fanya
 
Ushauri kukopa na kwenda kuanzisha biashara ni ufara sana....

Iko hivi biashara ili ufanikiwe inatakiwa uwe umeianza na umeshajua namna ya kuiendesha na umeshajua soko au wateja wako na jinsi gn ya kupambana na changamoto...

Unapokopa itakuwa kama unaongezea mtaji pale unapohic pamepungua hapo ndipo utapojua biashara uiendeshaje na kupata faida..

Lkn usikope na kuanza kununua vifaranga elfu moja wkt hujawahi ata kufuga KUKU mmoja utalia na kusaga meno
 
makato ya mwez ni laki mbili that means utakua anabakia na laki na nusu kwa miezi 30! so kwa akil ya kawaida utategemea zaid biashara mpya kukuendeshea maisha yako plus mshahara wa mfnyakaz na kodi na wakt huo huo biashara kujiendesha! hii itkua ngumu sana (tho its possble)..ushaur wangu fikria fursa ya biashara nyngne kutokana na eneo ulipo(nguo za kiume,kuuza chakula au pub) coz duka la rejareja sidhan kma ni idea nzur kwa situation uliyonayo! then uombe likizo ule mwez wa kwnza wa biashara wote ukae dukan na mfnyakaz wako ili ujue rotation ya biashara yakl! atleast hi itkupa experiance nzur ya kusimamia biashara yako.
 
wazo lako n zuri ila ur in wrong truck
sikushauri uchukue mkopo wa KUANZIA BIASHARA.... nashauri chukua mkopo kwa ajili ya KUKUZA BIASHARA ....biashara ya duka sio rahs kukurudishia hyo pesa ndan ya miaka 2 na nusu ambapo utatakiwa kulipa milion 6 na zaid......kkumbka duka lina faida za 200,100,50 lakn kuna kodi za TRA,MANSPAA n.k
 
Mtaji nilio nao na fridge na mizani, pamoja na kama 1mil ila biashara ina hitaji kama 7mil hivi, ko naona sina namna nyingine, na kwa kusema niweke mshahara mpaka ufike hata 3mil duu haijawah tokea
 
Nalichua wazo lako nilifanyie kaz, niliweke , miongon mwa mapendekezo yang
 
Duu niliwaza kama nategemea mauzo ya 200 to 250k nitakuwa natengeneza walau elfu 15 faida kwa siku ukitoa matumiz
 
Duu kumbe hakunaga kaz rahis, hata wazo tu la biashara ni mbinde namna hii
 
Duu kumbe hakunaga kaz rahis, hata wazo tu la biashara ni mbinde namna hii
na hii n hatua ngumu sana katka biashara....haya assume ungekua tayar ushakopa pesa afu ndo unaanza kutafta wazo la biashara .....si ungekua ushaanza kuzitafuna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…