Acha kiherehere mbona unakuwa mnoko sana kama mbuzi mwenye nyenge,sawa ameua yawezakua ilikuwa bahati mbaya. Kausha maisha yaendelee dunia ni gurudumu linanozunguka kwani wewe unajua Baade yako?natumai mko poa wakuu
huwa nachukia sana wahalifu wanaofanya matukio na kukimbia mkono wa sheria,zaidi namchukia sana yule anayemficha muhalifu asiweze kukutana na adhabu anayoistahili kuipata baada ya kufanya uhalifu wake.
Aiseeetukio lilitokea Mburahati Dar es salaam.Case yake ipo Pale Police Mburahati.Marehemu Alimreport huyu jamaa kwa Police kuwa anauza Mihadharati!.Jamaa akakutana na Marehemu kichochoroni maeneo ya Mburahati kota ndipo alipomchoma visu mpaka kupeleka umauti wa jamaa.kisha akakimbia
Duuu hivi umewaza maimivu aliyopata mhanga mpaka kifo chake? Hiv unajua familia yake marehemu ilibaki na hali gan?? Alafu lijamaa linajitapa! Anyway bila shaka hujaguswa.Acha kiherehere mbona unakuwa mnoko sana kama mbuzi mwenye nyenge,sawa ameua yawezakua ilikuwa bahati mbaya. Kausha maisha yaendelee dunia ni gurudumu linanozunguka kwani wewe unajua Baade yako?
Wewe mbona umepaniki ni weweAtakuwa amekugongea Demu wako si bure...
Hii namba ya nani?piga namba hii 0787668306...lakini amekukosea nini hadi unatakaa kumchoma...?
☕☕☕☕Nakumbuka wakati wa kufuata vitu kenya kuna askari polisi alikuwa anatusumbua sana hiyo ililuwa miaka ya 70’s siku ile kuna tukio moja nilifanya kwa yule askari.
Nilishatubu maana ilikuwa katika utafutaji enzi za ujana, kwa ufupi ni kwamba apumzike kwa amani yule askari maana ilikuwa nife mimi ama afe yeye bahati nzuri aliondoka yeye kwa maumivu makali.
BuhahahahahahahahaWewe mbona umepaniki ni wewe
Hivi una akili kweli!!!!Sasa unapata faida gani mkuu
Kama akimchomea police huyo marehemu atafufuka ?? Aache ipite kama kweli aliua bila kosa basi karma naye itamrudiDuuu hivi umewaza maimivu aliyopata mhanga mpaka kifo chake? Hiv unajua familia yake marehemu ilibaki na hali gan?? Alafu lijamaa linajitapa! Anyway bila shaka hujaguswa.
Na Mimi ndo namshangaa huyu jamaa halafu akienda kumripoti Polisi kwamba ameua wata muuliza una ushahidi Gani? Atasema amesikia wanasema ameua.. Dah kumbe ni mambo ya kusikia Tu " hear say" KINGINE watamuuliza hizo taarifa anazo Kwa muda Gani? Kama Ni Zaidi ya mwezi mmoja Na yeye atajumuishwa kwenye case kama accessory after the fact.Wataswekwa wote ndani ili asaidie upelelezi. The will treat him as his accomplice and he will become his partner in sufferanceHakikisha hawakujui kama ww ndo umetoa taarifa
Laiti kama angekuwa ndugu yako kauliwa je ungeweza kuandika vile mkuuBuhahahahahahahaha
Angefanya kufuatilia ndugu wa marehemu awape mchongo basi akishindwa kuwapataLaiti kama angekuwa ndugu yako kauliwa je ungeweza kuandika vile mkuu
Wewe binafsi Kuna Jambo amekukosea ?????tukio lilitokea Mburahati Dar es salaam.Case yake ipo Pale Police Mburahati.Marehemu Alimreport huyu jamaa kwa Police kuwa anauza Mihadharati!.Jamaa akakutana na Marehemu kichochoroni maeneo ya Mburahati kota ndipo alipomchoma visu mpaka kupeleka umauti wa jamaa.kisha akakimbia
Kumbuka wewe pia ulizalisha mwanafunzi tabola ukakimbilia huko mwaka wa nane huu au nawe tukuchome ? Sio fresh mkuutukio lilitokea Mburahati Dar es salaam.Case yake ipo Pale Police Mburahati.Marehemu Alimreport huyu jamaa kwa Police kuwa anauza Mihadharati!.Jamaa akakutana na Marehemu kichochoroni maeneo ya Mburahati kota ndipo alipomchoma visu mpaka kupeleka umauti wa jamaa.kisha akakimbia
Achana nae beefs sio nzuri just move on Mungu mwenyewe atapambana nae unaweza kujiingiza katika uadui USIO na kichwa Wala MIGUU. Tafuteni Amani Na Kila MTU. ..Laiti kama angekuwa ndugu yako kauliwa je ungeweza kuandika vile mkuu
FuTA hilo neno bangiDaaah kaua..
sasa sijui nikwambie ulipoti polisi.
Sijui nikwambie acha wivu.. acha mwamba ale maisha..
Au sijui nikwambie mwamba yawezekana bangi imemla akili psycho
Unataka kutueleza ujumbe gani kaka katika maisha haya na dunia hii.Achana nae beefs sio nzuri just move on Mungu mwenyewe atapambana nae unaweza kujiingiza katika uadui USIO na kichwa Wala MIGUU. Tafuteni Amani Na Kila MTU. ..
Tupac alivyo pigwa risasi wakati Yupo hospitalini askari walimfuata kumuhoji.
Askari: Do u know the guy who shot you?
Tupac : Yes I know him.
Askari: Can u tell us what is his name?
Tupac : Fvk u beech...
Suge Knight Sasa mwandishi anamuhoji:
Mwandishi : Mr Suge if u happen to know the guys who killed Tupac would u like to report them?
Suge : No.
Mwandishi : Why?
Suge : Because I am not a snitch and I cannot snitch on anyone in any manner whatsoever.
50 Cents baada ya kupigwa risasi Tisa aliulizwa Na askari wapelelezi." do you know the guys who shot you? Akajibu " Yes I do" wakamuuliza Tena " can u tell us who are they "? Akawajibu " Nope thank you".
Torati ya street inasema usiwe snitch cause snitch got stitches.Unataka kutueleza ujumbe gani kaka katika maisha haya na dunia hii.
Tuishi kwa kusamehe haijalishi wanatumiza au wanatutendea mabaya kiasi gani?
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga!
Hata kama tuna huruma basi iwe kiasi
Upendo wetu uwe kiasi
Chuki yetu iwe kiasi
Maisha yatawaliwe na ukiasi na tukubali kuwajibika katika makosa yetu..