Nataka kulisaidia Jeshi la Polisi; Muuaji aliyekimbia DSM anaishi hapa

Utakua mtuhumiwa namba moja
Hapo ndipo penye shida. Polisi wetu katika jambo kama hili, badala ya wao kushukuru kwa kurahisishiwa kazi (kuiweka ni iwe ni siri) wao wanakutia mahabusu eti ndo mtuhumiwa #1 au wanakuweka mahabusu ili uisaidie Polisi as if mahabusu ndo bakshishi yako kwa kuwapa Taarifa.
 
Wewe binafsi Kuna Jambo amekukosea ?????
yap anauzia Wadogo zangu na majirani madawa ya kulevya.mimi hayo maeneo aliyofanya haya mauaji- ndipo kwenye Makazi ya Baba na Mama angu.Isitoshe jamaa zake niliwa pambana nao Usiku mmoja wakaishia nichoma Bisibisi (mpaka leo nna kovu kutokana na hilo Shambulio) imagine mtu anataka akutoboe macho kwa bisibisi kisa utaki akukabe akuchukulie simu na walet!!.ILA HAWA NILIMALIZANA NAO MWENYEWE NILIWAONYESHA UZOEFU WANGU WAA KUKAA Hillbrow Johanesburg kesho yake😁😁.Now familia zao zina hazimisha unvesaries za Umauti wao! I showed them the results WHAT HAPPENS WHEN YOU FUKCK THE WRONG NIGHER.
 
Sawa sawa nitaleta kisa kuhusu maisha yangu ya utafutaji, moja ya tukio nitakalogusia ni kuhusu huyu askari. Enzi hizo biashara ya ngozi ilikuwa ni ya magendo wacha sasa hivi ngozi haina thamani kama zamani.
Mkuu una undugu na don namilison?
 
Police wetu walivyo wavivu. Watapita hu
Kulikuwa na haja gani kunianika humu? Ilikuwa self defense nilikuwa najilinda kwasababu jamaa ndo alitaka kuniua.

Ishi na Jali maisha yako wewee
Humu na kujifanya hawajaona hii Mada. Ila ungewaambia Mbowe au Lisu yumo humu Mbona mbio washashonokea
 
Mnaoishi kwa shemeji zenu mna mbwembwe
 
Safiii kijana tungepata vjna Kama ww kadhaa taifa lingenyooka aseee tuko pamoja litawafikia wahusika
 
Unatakiwa kuwa makini isije ikakugeukia, Ninao mfano dhahiri wa ndugu yangu yeye alitoa taarifa Polisi ya jamaa aliyekuwa akiishi kinyumba na watoto wadogo na jamaa ni muathirika.
Jamaa alikamatwa akasota ndani zaidi ya miezi mitano akaachiwa kwa dhamana kwa ufupi jamaa yupo huru. Kibao kimemgeukia ndugu yangu jamhuri imemfanya kuwa shahidi na jamaa amefahamu mtu aliyemchoma, Ikabidi ndugu yangu ahame mji kukwepa vitisho alivyokuwa anatoa jamaa baada ya kuachiwa
 
Hongera kwa ujasir wako sema ungefanya kimya kimya maisha yako n muhimu Tafuta njia nzur ambayo hutaingia matatan
 
Wacha Mkwara wewe ndugu yangu.
 
Hii naona ni kichekesho. Yaani mhalifu amuue mtu bar, akimbilie Tanga, aanze kutamba!! Ni Mkuu IGP ninayemfahamu au mwigine?
This is quite impossible!!
 
Polisi wanajisifu kua wana intelijensia kubwa waache wao wenyewe wamtafute mtu huyo. Polisi wetu wamezoea kila tukio hadi wapewe feeds toka kwa raia wema. Ila likija swala la siasa ndio kwanza wanapima hadi hisia za wananchi.
kwahiyo unashauri niachane nae tu ale bata.
 
Inamaana jamaa ana mtu hapo polisi inakuaje aendee kuriporti na mtumiwa akajua Alie mripoti haya maswala ya madawa bora angeenda DCEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…