Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Nasisi aliotutendea mema wala hata hakutunua tunashitaki wapi?
 
Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
Ujue aliwagusa kwenye mshono
 
Hicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?

Mkuu chama kimerudi kwa wenye chama. Vivyo hivyo nchi imerudi kwa wenye nchi. Naishia hapo
Kwahiyo ulimis wizi na uonevu wasio nacho siyo!
 
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau.

Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara kwenye payroll...SGR,BWAWA LA NYERERE,STAND MIKOANI,MIFUMO YA AFYA, AMANI KTK MIPAKA YA NCHI AMEIACHA SALAMA...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.

Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti DOA alilonalo katika UTAWALA wake NI lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka yeye Kama rais wa nchi Kama hakuhusika alipaswa atoe kauli au afanye Jambo watu wawajibike...pamoja na hayo Bado wenye nchi wakikumbuka mazuri yake wanakosa say huenda ndiye au siye muhusika maana nchi yetu NI kubwa mno......all in all Bado NI rais ambaye hatakuja kutokea labda kidogo juma awesso namuombea Mungu amjalie boss wangu huyu siku moja awe rais wetu.
Mpumbavu kama huyu kapewa likes 31 kwa upuuzi huu alioandika.

Tuna safari ndefu sana
 
JPM anahusikaje. Hata Jana na juzi mimi nimenusurika Mara kumi. Unamjua Mwingira kwa Undani. Unajua adui zake. Yani JPM ahangaike na Mwingira ili iweje. Changamoto kubwa ya akili ndogo ni kujisahau. Unasema katiba ya Tz inampa Rais madaraka makubwa sana . Lakini upande wa pili unasema huyo Rais alimkosakosa Mwingira ( maneno yake tu) .

Kama ana madaraka makubwa yasiyohojiwa anashindwAje kumuua huyo Mwingira kupitia amri zake . Tuna makomandoo wangapi. Tuna magaidi wangapi duniani. Tuna professional killers wangapi duniani.

Ukitulia sana na kusoma waleta mada wa aina yako, na reasoning zao ndo utajua tz bado sana.
Umemjibu!
Sijui kama atajaribu kujitutumua.
 
Kwa comments hizi naamini ni kwanini jamaa alikufa haraka hakuomba hata maji ya kunywa na kafa na mavi yake tumboni
 
Kweli ninyi hakuwapenda kwasababu
Mlikuwa majizi,wavivu makzini,waonevu NK.
lakini sisi raia wema alitupenda na sisi tulimpenda.
 
yule jamaa alikuwa zaidi ya shetani
Alikufanyaje au alikupiga ngumu ya huo mdomo?
JamiiForums-1822980026.jpg
 
Kwa comments hizi naamini ni kwanini jamaa alikufa haraka hakuomba hata maji ya kunywa na kafa na mavi yake tumboni
Acheni acheni kejeri kama hizi vinginevyo uwe na ushahidi wahayo mnayomzushiya.
Na uombe kweli iwe kama unavyodhani vinginevyo unafanya dhambi mbaya sana.
 
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau.

Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara kwenye payroll...SGR,BWAWA LA NYERERE,STAND MIKOANI,MIFUMO YA AFYA, AMANI KTK MIPAKA YA NCHI AMEIACHA SALAMA...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.

Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti DOA alilonalo katika UTAWALA wake NI lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka yeye Kama rais wa nchi Kama hakuhusika alipaswa atoe kauli au afanye Jambo watu wawajibike...pamoja na hayo Bado wenye nchi wakikumbuka mazuri yake wanakosa say huenda ndiye au siye muhusika maana nchi yetu NI kubwa mno......all in all Bado NI rais ambaye hatakuja kutokea labda kidogo juma awesso namuombea Mungu amjalie boss wangu huyu siku moja awe rais wetu.
Ubaya wa mauaji ya waliompinga ama kutofautiana naye , ikiwemo uchomaji wa vifaranga na uporaji wa mifugo ya nchi jirani umefunika kila kitu na hauna msamaha duniani wala mbinguni
 
Katiba hairuhusu kumshitaki rais kwa makosa aliyoyatenda akiwa madarakani ama akitoka madarakani kwa makosa aliyoyafanya KTK UTEKELEZAJI WA KAZI ZAKE ZA URAIS.

Sasa kuchoma shamba la korosho la mhe Zitto alikuwa anatekeleza kazi gani za urais hapo?

Hili ni kosa ambalo Magufuli ruksa kumburuza mahakamani.
Sasa chukulia ndiyo umefungua kesi na umeshinda na imekuwa hivyo unavyotaka,unadhani itabadilisha nini katika historia na kwa watu walio shuhudia hali ilivyo kuwa ?
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
sasa wewe hemaphrodite

kwa sasa si kuna uhuru, HAO WATU WATAJE AKINA NANI WALIHUSIKA, NA MAJINA YAO!!

HATA LISSU ASEME WALIOTAKA KUMUU, KUBWA LA MAADUI SI KAISHA KUFA??

WEKENI WAZI KILA KITU SASA

BWABWA WE
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono hoja Kwa dhati kabisa
 
Hahahahhahahaa eti Juma Awesso,hawa mawaziri ambao wanatembea na vyombo vya habari mgongoni ka Machinga ndo kirahisi hivi aje kuwa Raisi,una umwa wewe lol
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau.

Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara kwenye payroll...SGR,BWAWA LA NYERERE,STAND MIKOANI,MIFUMO YA AFYA, AMANI KTK MIPAKA YA NCHI AMEIACHA SALAMA...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.

Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti DOA alilonalo katika UTAWALA wake NI lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka yeye Kama rais wa nchi Kama hakuhusika alipaswa atoe kauli au afanye Jambo watu wawajibike...pamoja na hayo Bado wenye nchi wakikumbuka mazuri yake wanakosa say huenda ndiye au siye muhusika maana nchi yetu NI kubwa mno......all in all Bado NI rais ambaye hatakuja kutokea labda kidogo juma awesso namuombea Mungu amjalie boss wangu huyu siku moja awe rais wetu.
 
Back
Top Bottom