Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Babako alikuwa cheti feki ,na wewe uliyetiwa mimba shuleni kisha magufuli kukataa kuendelea kusoma lazima umchukie.
greenwoods kwenye cheti feki nakuomba ufunge mdomo wako kabisa, kwani vita vyake huviwezi. Magufuli mwenyewe PhD thesis yake ni FEKI kwa kuwa aliigilizia kwa mwenzie (PLAGIARISM)
 
Niko tayari kukuchangia tsh mil 10 kwa ajili ya kuwezesha mchakato huu , nafahamu kwamba mtuhumiwa kishazikwa , lakini hukumu ya kesi hii inaweza kutoa mwongozo kwa walio hai
unaonaje hizo tsh. uhangaikie kesi ya mbowe,ambaye ni gaidi suspect, huni kwamba ukichelewa ,hutamuona mwamba wako maisha yako yote!!,
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Fungua kesi mwanangu tukapige minyororo lile kaburi kama enzi ya mjerumani.
 
Ndio anahatia kwahiyo tukamfufue aje kutumikia kifungo chake?
 
Niko tayari kukuchangia tsh mil 10 kwa ajili ya kuwezesha mchakato huu , nafahamu kwamba mtuhumiwa kishazikwa , lakini hukumu ya kesi hii inaweza kutoa mwongozo kwa walio hai
nachangia mafuta ya safari za mahakamani
 
IMG-20211230-WA0333.jpg
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Fanya haraka tena kesho nenda kwa msajili wa mahakama kuu ufungue jarada hilo.

Hilo jina JPM litawatesa sana hadi kizazi cha nne
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.

Huna akili
 
Mkuu una nia safi lkn unashindwa kujenga msingi wa case yako! Shitaki serikali kupitia mwanasheria mkuu! Washitakiwa wengine ndo uwataje sasa kina siro , jumanne, kingai doto, heri james, makonda nk! Kwan magu hayupo ila matukio na walioyatekeleza wapo kitaa
 
Kuna vitu vya kujaribisha watu lakini sio ndoa au uongozi wa Nchi...!
 
Niko tayari kukuchangia tsh mil 10 kwa ajili ya kuwezesha mchakato huu , nafahamu kwamba mtuhumiwa kishazikwa , lakini hukumu ya kesi hii inaweza kutoa mwongozo kwa walio hai

mkiitwa kuchangia mambo ya msingi hata hatuwaoni.
 
Mkuu kwani saizi nikikuuliza chancellor wa Ujerumani anaitwa nani utanijb bila kufikiri??? Lakini ukiulizwa Adolfo Hitler ni nani moja kwa zote Ujerumani unaiona hii hapa😂😂😂😂😂
Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.

Kwahio akiondolewa hadhi ya uraisi ndio atafutika mioyoni mwa watanzania waliompigia kura na video clip zake hazitaongea tena…you are simply delusional

Guilty conscious ya hio mikataba mnayosign sasa hv ndio inasumbua usingizi eeh…na bado hizo pesa mtazitapika it is just a matter of time..
#kataawahuni
 
Hicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?

Mkuu chama kimerudi kwa wenye chama. Vivyo hivyo nchi imerudi kwa wenye nchi. Naishia hapo

#kataawahuni
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Kwa hiyo toka 2015 hadi march 2021 itaonekana hatukuwahi kuwa na rais?

Tumuache mwamba apumzike. Tumshukuru kwa machache alitufanyia.

Tumsamehe pia kwa yale aliyofanya na kutukwaza.

Tumejifunza pia kwa namna nyingi ktk utawala wake.
 
Back
Top Bottom