zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo...alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata.. anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tano.
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara...[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]Rubbish thread!
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau
Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.
Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti
Padre gani huyo?Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Kwamba marehemu hashtakiwi?Umewai kuona katiba ya Tanzania ata kuishika tu?,najua hujawai kuisoma.
Unahangaika na mitaahi.ra, kwa upeo wake wa kufikiri hao ndo "watanzania" pekee, kwamba JPM angewafurahisha hao na kuchukiza the majority.Rubbish thread!
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau
Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.
Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti
Vipi akina Askofu Mwingira walionusurika kufa mara tatu?
Ibilisi huwa anavuma Sana. Si unaona hata Mambo ya connection za mirinda yanavyotembea kwa kasi kuliko hata injili!!?
Haiwezekani kumuondolea hadhi ya urais au kufuta kumbukumbu bali kutaweza kumuongezea sifa mbaya tu.N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Hao ni wahuni ukiwa Askari hodari huwezi kupendwa na raia wema na wakati huo huo eti unapendwa na wahalifuZitto, Mwingira, Diallo, n.k hujawasikia ??
Yaani Magufuli ni tishio mno Sasa hivi kwa wanasiasa wote ....hoja zake na matendo yake ni kaa la motoHivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
Hizo propaganda za kijinga sanaMauaji na unyama umefunika huo uzuri unaousema
Atafungua kwenye mahakama ya MIGA, ile mahakama pendwa ya mr #dishlimetilt anayeshikishwa ukuta na wazungu kule ulaya.Wazo zuri Lakini Swali firikishi:Unaenda kumfungulia kwenye mahakama Gani?Hizi za Tanzania ambazo majaji wanamsubiri Mkuu wa mhimili uliojichimbia zaidi awateue au mahakama zipi?
Leta uthibitisho.Katiba hairuhusu kumshitaki rais kwa makosa aliyoyatenda akiwa madarakani ama akitoka madarakani kwa makosa aliyoyafanya KTK UTEKELEZAJI WA KAZI ZAKE ZA URAIS.
Sasa kuchoma shamba la korosho la mhe Zitto alikuwa anatekeleza kazi gani za urais hapo?
Hili ni kosa ambalo Magufuli ruksa kumburuza mahakamani.