Muislamu kwenda kwa mkristo sio shida kwake ila mkristo kwenda kwa muislamu kubali kubadilika kufata yake na utajikuta umebadilisha dini kabisa kuwa muislamu.
Ni meshuudia kuna jamaa alikwenda mjini kutafuta maisha na alipofikia ndio alibadilishwa huko.
sio shida asilimia 90 inawezekana