Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ni post yake imenirudisha mie sitaki huku na haribu CV yangu bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maini hayazeeki lkn hivo vingine vimekata maji.Maini huwa hayazeeki
Tutasaidiana kuleaIli nigundue nini miee nalea wajukuu tu Saivi!
Njoo ule ugali na kachumbariNi post yake imenirudisha mie sitaki huku na haribu CV yangu bhana
Ebu fafanua zaidi tuweze kuelewaMaoni hayazeeki lkn hivo vingine vimekata maji.
👀👀👀👀Ebu fafanua zaidi tuweze kuelewa
UnakaribishwaJf kisima cha burudani. Kila siku watu wanatengeneza wasifu mpya. Leo mwana JF anaweza kuwa wa kike, kesho dume. Leo mleta mada anataka kuoa akati siku zingine ni married man mwenye watoto watano ndani ya ndoa na mahawara wenye watoto 10+.
Na ana mpango wa kuendeleza libeneke, hana mpango wa kuacha hizi mishe. Unless mtajwa anajisikia kuongezeka kwenye list, asijaribu. Nweiz..it is what it is. Pambaneni...
Bila kusahau Shunie mrembo asiyechuja
Binafsi navutiwa sana na To yeye😍
We jibu kwa dhihaka tu... utakuwa na dhima juu ya kudanja kwangu sababu ya mapenzi 😒😣😔😂😂😂Pambana
Nilijua tu 🤔Kuwa mpole
Kuwa na hekima
Kuwa na subira.
Hilo jina ni kama linashabihiana na mwenye kumiliki hisia zangu pia.
Mapenzi bila vita hayanogi.
Jiandae kwa mpambano. Jina lake linaanzia D na ukiona siyo mwenyewe basi pita hivi👇
mwanangu unanichukulia chombo changu hivihivi yaan 😣😔😔😔Yumo humu mkuu, yaani usiku silali namuwaza yeye tu
Kweli wewe ni wakukurupuka 😅😅😅🙌🏾Gonga kwanza check kiwango cha UTI pia
We nae tangu uendage huko ni mwendo wa kutukorogea tu na kututukana na hicho kilugha chenu 😅😅🙌🏾One man Down! One Man Down!.. rescue team we need your fu...** assistance Copy!