Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
🥃🥂😊Safari moja huanzisha nyingine 🍻🍻🍻🍻
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥃🥂😊Safari moja huanzisha nyingine 🍻🍻🍻🍻
Amuoe nani?? Ameshaoa ni mtoto wake anaoa anawatoto wakubwa 2019 mtoto wakiume wa halali alikuwa mwaka wa mwisho chuo hapo UDSM Sasa hadi na Sasa ni mtoto wake ndio anaoa anamke na watoto wa 4 so endeleeni kujidanganya sana .Arurururuuuuuuh walisema hataoa mbona anakaribia kuoa.🤨
Acha nioe tu hakuna namna; wakataa ndoa waendelee tu kukataaArurururuuuuuuh walisema hataoa mbona anakaribia kuoa.🤨
Huna haja ya kuuz kitu siunahelaNisipovuna mazao nitauza nyumba ya urithi
😂😂😂😂Kumbe mzee haswa.Amuoe nani?? Ameshaoa ni mtoto wake anaoa anawatoto wakubwa 2019 mtoto wakiume wa halali alikuwa mwaka wa mwisho chuo hapo UDSM Sasa hadi na Sasa ni mtoto wake ndio anaoa anamke na watoto wa 4 so endeleeni kujidanganya sana .
Nishaaambiwa una wake saba sijui nane.Acha nioe tu hakuna namna; wakataa ndoa waendelee tu kukataa
Achana na huyo, ameshakunywa lubisi tayari, si unajua leo wkend😂😂😂😂Kumbe mzee haswa.
Khaaa basi akili za uzee zimeshuka chini walah.
Ila utaenjoy sana mwaya sana anahela kweli za kujitamba na danga ni mchagga nawapo kama waislam nenda kapangwe maana anajua kuleta kweli hukosi ka alphad, nyumba na pamba. Ukimpa katoto kamoja fine😂😂😂😂Kumbe mzee haswa.
Khaaa basi akili za uzee zimeshuka chini walah.
Ha ha ha tatizo hizo habari mnazipata kutoka kwenye radio mbao 😀😀😀Nishaaambiwa una wake saba sijui nane.
Huyo unataka kumuoa basi ataenda kuchunda.😂😂
Jina langu haliishii na h
Ahh weeeh kumbe unawajukuu?Achana na huyo, ameshakunywa lubisi tayari, si unajua leo wkend
Unamke njoo nikupeleke kwakoAchana na huyo, ameshakunywa lubisi tayari, si unajua leo wkend
Aweeeeh usitutanie sie.Ha ha ha tatizo hizo habari mnazipata kutoka kwenye radio mbao 😀😀😀
Na shida ya humu kuna WANAUME wanamiliki akaunti za KIKE. Muwe makini kweli kweli, ooh!!![emoji16]Amesema jina mwisho ni h.
Ndoa ya pili inakuita jirani..Wewe Pullliiiz Nitoe hapo nishaolewa mie!!!
Afu huoni kasema Anaishia na h!!???
Usimuamini sana huyo! Nadhani alitaka kusema linaishia e! Mwanaume gani asiyependa kukumiliki hapa JF!Jina langu haliishii na h
Mhhhh nani tena ataenjoy.Ila utaenjoy sana mwaya sana anahela kweli za kujitamba na danga ni mchagga nawapo kama waislam nenda kapangwe maana anajua kuleta kweli hukosi ka alphad, nyumba na pamba. Ukimpa katoto kamoja fine
🤣🤣🤣🤣🤣
Me nina crush wangu ujue
Usije niumizia ndege wangu akaona nina mambo mengi
Aisee..Na shida ya humu kuna WANAUME wanamiliki akaunti za KIKE. Muwe makini kweli kweli, ooh!!!