Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kuna mdau hapo juu anampopoaUmejuaje kama ameoa?😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau hapo juu anampopoaUmejuaje kama ameoa?😅
Tunajaribu kuokoa jahazi la wakataa ndoaUmeoa mke anashepu majaliwa acha watoto wawatu unasingle mothers wengi wamekuzalia hivi huogopi kuuwawa na new comers unakera
Mkuu Equation xKuna mdau hapo juu anampopoa
Mimi sitaki wa kujibanabana kuwa mke wa nne.Sio tapeli tatizo anawake wengi sana ukiamua kuingia poa sianahela??
You are missed!Si keshakutana nae Jamani?
Tusipo oa mkuu, hii idadi kubwa ya warembo watapendwa na nani?
Habari wakuu,
Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.
Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.
Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.
Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.
Wakuu nipeni baraka zenu.
Unaongeza wa pili sio😅😅😅Tusipo oa mkuu, hii idadi kubwa ya warembo watapendwa na nani?
Yumo humu mkuu, yaani usiku silali namuwaza yeye tuKama ulipishana nae barabarani ulijuaje yupo humu jf?
Safi sana mkuu, inabidi uwe mwenyekiti wa kamatiWajomba wa Bwana harusi tupo tayari kukuunga mkono ufanikishe hili. Iwe heri tupu
Tunaruhusiwa mpaka wa nne, ila kutokana na idadi yao kuwa kubwa, itabidi niende hata 20 baada ya kuvuna mazao yangu shambani.Unaongeza wa pili sio😅😅😅
Unakula na kushiba mno ndio maana unamuwaza , ebu siku moja jarbu kulala na njaa tuone kma utamuwaza tena.Yumo humu mkuu, yaani usiku silali namuwaza yeye tu
Kwa nini mkuu?Hakika wanawake tuna huruma sana🙆🙆🙆
Hiyo itakuwa sawa na kujinyonga mkuuUnakula na kushiba mno ndio maana unamuwaza , ebu siku moja jarbu kulala na njaa tuone kma utamuwaza tena.
Tunangoja tamko baada ya masaa 72Joannah kura imemwangukia labda Sasa aseme jambo kwa mwanetu ili mwanetu roho yake ipate kutulia
Joannah umeona sasaTunaruhusiwa mpaka wa nne, ila kutokana na idadi yao kuwa kubwa, itabidi niende hata 20 baada ya kuvuna mazao yangu shambani.
Sio wa nne wewe ni mazulia elfu Moja huyu ni kama sulemani wake anaowakutoshaMimi sitaki wa kujibanabana kuwa mke wa nne.