Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Atupangie ratbag za kulala 😀 hao jamaa hawaza wivu kabisaUsihofu mkuu, kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atupangie ratbag za kulala 😀 hao jamaa hawaza wivu kabisaUsihofu mkuu, kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatu
Kuwa mpoleHabari wakuu,
Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.
Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.
Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.
Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.
Wakuu nipeni baraka zenu.
Hahaha mimi naamini itakuwa ni wewe maana unaonekana wife material wa nguvu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo Mambo ya tabia mtarekebishana mbele ya safari!kikubwa kwanza muoane
Halafu uje na uzi kua unajuta kuoa demu wa jfHabari wakuu,
Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.
Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.
Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.
Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.
Wakuu nipeni baraka zenu.
Mkuu huwezi kufaUkisikia marehemu amekufa mdogo ndio hivi achana na mali za watu wewe Equation x
ha ha ha haUkila mihogo utamridhishaje sasa 😀😃😄🤣
mihogo ni chakula😀
Hapana mkuu, bi harusi umemuona?Mkuu unarusha jiwe gizani😅
Umeweka picha?Hapana mkuu, bi harusi umemuona?
Watakuwa labda na matatizo ya nguvuAtupangie ratbag za kulala 😀 hao jamaa hawaza wivu kabisa
Kuna under 30 ktk hawa?? Naona wote km zimesonga sana
Tatizo hasemi Sasa😂😂😂😂aseme mapema tuanze kuchagua wedding colors.......ngoja tusubiri masaa 72 tuone hiyo bingo itamwangukia naniHahaha mimi naamini itakuwa ni wewe maana unaonekana wife material wa nguvu.
Mapenzi ni sera, hayahitaji vita wala nguvu 😀😀😀Kuwa mpole
Kuwa na hekima
Kuwa na subira.
Hilo jina ni kama linashabihiana na mwenye kumiliki hisia zangu pia.
Mapenzi bila vita hayanogi.
Jiandae kwa mpambano. Jina lake linaanzia D na ukiona siyo mwenyewe basi pita hivi👇
Kumbe ni wewe😆Tatizo hasemi Sasa😂😂😂😂aseme mapema tuanze kuchagua wedding colors.......ngoja tusubiri masaa 72 tuone hiyo bingo itamwangukia nani
Hayo unajua wreweMapenzi ni sera, hayahitaji vita wala nguvu 😀😀😀
Wana changamoto zipi mkuu?Halafu uje na uzi kua unajuta kuoa demu wa jf
By the way kila la kheir
Picha itakuja hivi karibuni, kwenye kadi ya mchangoUmeweka picha?
UtaniPM kadi nichangie mkuu!Picha itakuja hivi karibuni, kwenye kadi ya mchango