Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #121
Asante mkuuKila la kheri Mwamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuKila la kheri Mwamba.
Shangaa Nawewe vigori wote hawa waliojaa jamani !!Kweli watu wanapenda mashangazi😀😃 yani hawana mipaka ya kutongoza..
😂😂😂PambanaNaanza kuisikia ile song ya chege na almasi "waache waoane" inaimba kwa mind yangu 😭😭😭
🤣🤣kwa hiyo Equation x akikupa iphone bas tena dahWewe ushaninyima iphone 12
Kweli mkuuSafi sana, kuoa muhimu sana
Mashangazi kweli watamu hawana vipanga vya hela 🤣Shangaa Nawewe vigori wote hawa waliojaa jamani !!
😀😀😀😀nabeba na begi langu naenda🤣🤣kwa hiyo Equation x akikupa iphone bas tena dah
Kwa kweli kuna haja ya kununua tu hiyo iphone😀😀😀😀😀nabeba na begi langu naenda
Kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatuUmechelewa Mkuu.
Eeh baba rangi ileileKwa kweli kuna haja ya kununua tu hiyo iphone😀
Usihofu mkuu, kuna mwanamke mmoja ameolewa na waume watatusamahani Equation x usije mtongoz Amehlo kwani she is already taken.
ha ha ha kujihami muhimuMpaka kifo kitutenganishe mkuu sheendwaaa!!
Kuna nn huku jamani
Anataka kutunyima fursa mkuuKunitongoza hawezi 😀😀
Ila am taken where kwani mbona sina taarifa
Jitafutieni matatizo tu!! Msiseme sijawaambia!Mashangazi kweli watamu hawana vipanga vya hela 🤣
😀😀😀wakati ye ameshindwa ninunulia iphone 😀😀Anataka kutunyima fursa mkuu